Taifa lipo kwenye mchakato wa katiba mpya, pls ebu tuwekane sawa. Inakuwaje wadau wanao shinikiza kudumisha muungano kwenye content za hoja zao wanapendekeza serikali 3 au 2..je huu ni muungano au utengano...???
Wengine wanataka mamlaka kamili lkn wanapendekeza kuwepo na muungano wa mkataba au wa baadhi ya mambo, sorry huu ni muungano au ushirikiano...???
Nafikiri ni busara ku-define seriously without politics ni muungano gani tunaouongelea kabla ya kubadili katiba yetu. I can smell a mix of union n united here!!!Tusipoangalia tutaelekea kuharibu nchi yetu ambayo inaendelea vizuri. This is because kama in a new constitution tuta-consider sana issues that have to do with political-satisfactions, its effect may not hold on the ground thus chaos will arise.
NB:Sijaongelea mengine ktk katiba kwani naamina mengine yote yanategemea na structure ya muungano.
Wengine wanataka mamlaka kamili lkn wanapendekeza kuwepo na muungano wa mkataba au wa baadhi ya mambo, sorry huu ni muungano au ushirikiano...???
Nafikiri ni busara ku-define seriously without politics ni muungano gani tunaouongelea kabla ya kubadili katiba yetu. I can smell a mix of union n united here!!!Tusipoangalia tutaelekea kuharibu nchi yetu ambayo inaendelea vizuri. This is because kama in a new constitution tuta-consider sana issues that have to do with political-satisfactions, its effect may not hold on the ground thus chaos will arise.
NB:Sijaongelea mengine ktk katiba kwani naamina mengine yote yanategemea na structure ya muungano.