Tuweke historia sawa juu ya uasisisi wa mataifa ya Afrika

Tuweke historia sawa juu ya uasisisi wa mataifa ya Afrika

GAGL

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2010
Posts
392
Reaction score
400
Najua hili litawavuruga wengi lakini ukweli ni kwamba hakuna kiongozi yoyote wa taifa huru la Afrika aliyeasisi taifa hilo baada ya ukoloni. Mataifa hayo yaliasisiwa na wakoloni wenyewe.

Sababu ya kusema hivi iko wazi kabisa, kabla ya ukoloni hakukuwa na mipaka ya kijiografia wala kisiasa bali kulikuwa na mipaka ya himaya ndogo ndogo za kifalme na kichifu. Himaya hizo hazikuwa mataifa hadi pale Bismark alipofanya yake ambayo baadae yakazaa mataifa huru ya Afrika.

Hapa kwetu Mwalimu aliasisi jina tu miaka mitatu baada ya uhuru sio taifa.
 
Najua hili litawavuruga wengi lakini ukweli ni kwamba hakuna kiongozi yoyote wa taifa huru la Afrika aliyeasisi taifa hilo baada ya ukoloni. Mataifa hayo yaliasisiwa na wakoloni wenyewe.

Sababu ya kusema hivi iko wazi kabisa, kabla ya ukoloni hakukuwa na mipaka ya kijiografia wala kisiasa bali kulikuwa na mipaka ya himaya ndogo ndogo za kifalme na kichifu. Himaya hizo hazikuwa mataifa hadi pale Bismark alipofanya yake ambayo baadae yakazaa mataifa huru ya Afrika.

Hapa kwetu Mwalimu aliasisi jina tu miaka mitatu baada ya uhuru sio taifa.
Taifa ni nini?!!
 
Najua hili litawavuruga wengi lakini ukweli ni kwamba hakuna kiongozi yoyote wa taifa huru la Afrika aliyeasisi taifa hilo baada ya ukoloni. Mataifa hayo yaliasisiwa na wakoloni wenyewe.

Sababu ya kusema hivi iko wazi kabisa, kabla ya ukoloni hakukuwa na mipaka ya kijiografia wala kisiasa bali kulikuwa na mipaka ya himaya ndogo ndogo za kifalme na kichifu. Himaya hizo hazikuwa mataifa hadi pale Bismark alipofanya yake ambayo baadae yakazaa mataifa huru ya Afrika.

Hapa kwetu Mwalimu aliasisi jina tu miaka mitatu baada ya uhuru sio taifa.
kuasisinTaifa huru
 
Taifa ni nini?!!
Hawezi kukujibu maana aliandika bila kuijua maana ya hilo neno mkuu. Tumsaidie aelewe kwanini wanaitwa wasisi wa Taifa

Nchi ama Country:
A country is a region that is identified as a distinct entity in political geography.

A country may be an independent sovereign state or part of a larger state,[1] as a non-sovereign or formerly sovereign political division, a physical territory with a government, or a geographic region associated with sets of previously independent or differently associated people with distinct political characteristics. Regardless of the physical geography, in the modern internationally accepted legal definition as defined by the League of Nations in 1937 and reaffirmed by the United Nations in 1945, a resident of a country is subject to the independent exercise of legal jurisdiction.[citation needed] There is no hard and fast definition of what regions are countries and which are not.

Koloni/Colony:
In history, a colony is a territory under the immediate complete political control and occupied by settlers of a state, distinct from the home territory of the sovereign. For colonies in antiquity, city-states would often found their own colonies. Some colonies were historically countries, while others were territories without definite statehood from their inception.

The metropolitan state is the state that rules the colony. In Ancient Greece, the city that founded a colony was known as the metropolis. "Mother country" is a reference to the metropolitan state from the point of view of citizens who live in its colony. There is a United Nations list of Non-Self-Governing Territories.
 
Ethiopia na Misri ni moja ya mataifa ya ki-Afrika ambayo ni makongwe na tawala zao zilikuwepo kabla ata ya civilization ya mataifa ya ulaya ya sasa. Ni kweli mataifa mengi ya afrika yameungwa ungwa tu ndiyo maana utaona jamii moja iko pande mbili au zaidi. Mipaka hii ya wazungu haikutilia maanani jamii zilizokuwepo mpakani, mila au desturi. Nahisi unahitajika mjadala wa kugawa upya nchi zetu kwa minajili ya kijamii, mila na desturi ili kuwa na mataifa yenye watu wanaoshabihiana au kuunganisha nchi zote ili kuwe na United States of Africa (hii ni ndoto tu kama wet dream)
 
Itakua Ethiopia na Liberia hazina waasisi maana hazikutawaliwa na wakoloni.
 
Ethiopia na Misri ni moja ya mataifa ya ki-Afrika ambayo ni makongwe na tawala zao zilikuwepo kabla ata ya civilization ya mataifa ya ulaya ya sasa. Ni kweli mataifa mengi ya afrika yameungwa ungwa tu ndiyo maana utaona jamii moja iko pande mbili au zaidi. Mipaka hii ya wazungu haikutilia maanani jamii zilizokuwepo mpakani, mila au desturi. Nahisi unahitajika mjadala wa kugawa upya nchi zetu kwa minajili ya kijamii, mila na desturi ili kuwa na mataifa yenye watu wanaoshabihiana au kuunganisha nchi zote ili kuwe na United States of Africa (hii ni ndoto tu kama wet dream)

Hii ya kugawa upya italeta Ugomvi mkubwa. NASHAURI tujielekeze katika kuunganisha mataifa yote ya Africa liwe taifa moja lenye nguvu. Najua ni ngumu lakini inawezekana sana tu, tuanzishe vitukuu vitakamilisha
 
Itakua Ethiopia na Liberia hazina waasisi maana hazikutawaliwa na wakoloni.
Ethiopia ilikuwepo kama himaya au taifa lenye mipaka ya kisiasa na kijiografia?
 
Ungefikiria kwanza kabla ya kuandika usingekuja na huu uzi
 
Hoja hupingwa kwa hoja sio swali dhidi ya hoja. Tusaidie kufafanua ili tujadili. Kama na wewe hujui basi kaa kimya.
Wapi nilipopinga hoja yako?.......usikimbie swali tuelimishe kwanza Taifa maana yake ni nini kama ulivyoitumia kwenye hoja yako!
 
Ungefikiria kwanza kabla ya kuandika usingekuja na huu uzi
Hata baada ya kuweka ufafanuzi bado hutaki kukubaliana na hoja yangu, au hata ulichopost hukijui, lugha inasumbua.
 
Hii ya kugawa upya italeta Ugomvi mkubwa. NASHAURI tujielekeze katika kuunganisha mataifa yote ya Africa liwe taifa moja lenye nguvu. Najua ni ngumu lakini inawezekana sana tu, tuanzishe vitukuu vitakamilisha
Inaweza isilete ugomvi kama mataifa yatakubaliana mambo ya msingi ikiwa ni pamoja na:

1. Hakuna taifa litapoteza au kuongeza ukubwa wa ardhi yake;
(hapa kuna wahuni wanaweza wakapiga dili ya ardhi)

2. Watu watakao athirika na kuhamishwa utaifa wao watabakia na ridhaa ya kuchagua uraia wa taifa watakalo litaka
(hapa kuna watu wataathirika kisiasa ikiwa wamewekeza kwenye nchi ambazo hazitakua asili yao); na

3. Mabadiliko hayo yawe ni ridhaa ya wananchi na siyo viongozi wa kisiasa.
(Wanasiasa wako kupata political mileage hawana interest na well being ya raia wao)

Kwa hivyo, hauna sababu ya kuwa na wasiwasi hiii kitu inawezekana, ikifanywa cautiously.
 
Hata baada ya kuweka ufafanuzi bado hutaki kukubaliana na hoja yangu, au hata ulichopost hukijui, lugha inasumbua.
Ufafanuzi upi mkuu?

[IMG alt="GAGL"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/25/25058.jpg?1533671309[/IMG]
GAGL
JF-Expert Member

Joined Aug 5, 2010
rep.png
224
point.png
225
Najua hili litawavuruga wengi lakini ukweli ni kwamba hakuna kiongozi yoyote wa taifa huru la Afrika aliyeasisi taifa hilo baada ya ukoloni. Mataifa hayo yaliasisiwa na wakoloni wenyewe.

Sababu ya kusema hivi iko wazi kabisa, kabla ya ukoloni hakukuwa na mipaka ya kijiografia wala kisiasa bali kulikuwa na mipaka ya himaya ndogo ndogo za kifalme na kichifu. Himaya hizo hazikuwa mataifa hadi pale Bismark alipofanya yake ambayo baadae yakazaa mataifa huru ya Afrika.

Hapa kwetu Mwalimu aliasisi jina tu miaka mitatu baada ya uhuru sio taifa
 
Ufafanuzi upi mkuu?

[IMG alt="GAGL"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/25/25058.jpg?1533671309[/IMG]
GAGL
JF-Expert Member

Joined Aug 5, 2010
rep.png
224
point.png
225
Najua hili litawavuruga wengi lakini ukweli ni kwamba hakuna kiongozi yoyote wa taifa huru la Afrika aliyeasisi taifa hilo baada ya ukoloni. Mataifa hayo yaliasisiwa na wakoloni wenyewe.

Sababu ya kusema hivi iko wazi kabisa, kabla ya ukoloni hakukuwa na mipaka ya kijiografia wala kisiasa bali kulikuwa na mipaka ya himaya ndogo ndogo za kifalme na kichifu. Himaya hizo hazikuwa mataifa hadi pale Bismark alipofanya yake ambayo baadae yakazaa mataifa huru ya Afrika.

Hapa kwetu Mwalimu aliasisi jina tu miaka mitatu baada ya uhuru sio taifa
We si ndiyo umeweka definition ya "Country"
 
Back
Top Bottom