njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Naona Haji Manara ngozi anasifiwa leo eti kawapa jina simba wanaitwa makorokoro fc, hivi huo ndio ubunifu aliowahiidi? kabla hata hajaja huko si mlishajaribu majina kama mikia, simbilisi, utelembwe??
Mnajua ni kwa nini jina la utopolo lilibamba? Mlijipa wenyeweeeeeeee yaaani wenyeweeeee sisi majina tunayojiita ni MNYAMA, TAIFA KUBWA,MABINGWA WA NCHI
Mnajua ni kwa nini jina la utopolo lilibamba? Mlijipa wenyeweeeeeeee yaaani wenyeweeeee sisi majina tunayojiita ni MNYAMA, TAIFA KUBWA,MABINGWA WA NCHI