njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
wanamshangilia mlemavu wa ngozi kwa ubunifu wa kuiiita simba makorokoro fc. wamelipuka kwa shangwe kubwaKwani utopolo wanasemaje? punguza jazba mkuu...
Sio mr utopolo tu, wanachama wengi maarufu wa yanga kasoro Jimmy kindoki wote wamenyuti sijasikia wakiongea kitu, Jimmy kindoki anakuambia team ya media ya mamelodi ina watu 126 anajipigia debe na yeye aongezwe huko.Kwanza mr utopolo mwenyewe anazungumziaje juu ya ujio wa manara hapo camp?
Mr utopolo alikua kwenye mgogoro na mzee mpili sijui vuta nikuvute yao iliishia wapi
So nugaz naye kakubali kuwa chini ya haj au kawekwa kitengo kikubwa ambacho atakua juu ya manara?Sio mr utopolo tu, wanachama wengi maarufu wa yanga kasoro Jimmy kindoki wote wamenyuti sijasikia wakiongea kitu, Jimmy kindoki anakuambia team ya media ya mamelodi ina watu 126 anajipigia debe na yeye aongezwe huko
Ila juzi nilifurahia jinsi Nugaz alivyojajua majukumu yake mapya mapema, maskini alikuwa bize kuweka mic sawa nafikiri kwa sasa hata chai anapika yeye
Acha ubaguzi wewe Kolo FC ,tulieni dawa iwaingie umesahau anayecheka mwisho ndiyo mshindi.wanamshangilia mlemavu wa ngozi kwa ubunifu wa kuiiita simba makorokoro fc. wamelipuka kwa shangwe kubwa
Makolokolo FC tulieni huu mwanzo tuSio mr utopolo tu, wanachama wengi maarufu wa yanga kasoro Jimmy kindoki wote wamenyuti sijasikia wakiongea kitu, Jimmy kindoki anakuambia team ya media ya mamelodi ina watu 126 anajipigia debe na yeye aongezwe huko
Ila juzi nilifurahia jinsi Nugaz alivyojajua majukumu yake mapya mapema, maskini alikuwa bize kuweka mic sawa nafikiri kwa sasa hata chai anapika yeye
Mtanie Haji kimpira.naona mlemavu wa ngozi anasifiwa leo eti kawapa jina simba wanaitwa makorokoro fc, hivi huo ndio ubunifu aliowahiidi? kabla hata hajaja huko si mlishajaribu majina kama mikia, simbilisi, utelembwe?....
yeye ndo alikuwa anasema manara ni yanga lia liaKwanza mr utopolo mwenyewe anazungumziaje juu ya ujio wa manara hapo camp?
Mr utopolo alikua kwenye mgogoro na mzee mpili sijui vuta nikuvute yao iliishia wapi
Usimshambulie mtu kwa ulemavu wakewanamshangilia mlemavu wa ngozi kwa ubunifu wa kuiiita simba makorokoro fc. wamelipuka kwa shangwe kubwa
Na kale kazee Mpili wanakokasifia kuliko Fei Toto kamesemaje?Kwanza mr utopolo mwenyewe anazungumziaje juu ya ujio wa manara hapo camp?
Mr utopolo alikua kwenye mgogoro na mzee mpili sijui vuta nikuvute yao iliishia wapi
Huyo unayemtetea aliwahi kuwacheka na kuwadhihaki Yanga walivyopata ajali ya basi lao, unamuona huyo mtu yuko sawa kichwani? au yeye sababu mlemavu alikuwa anataka na wachezaji wa yanga wavunjike miguu kwenye hiyo ajali?Unawaita watu majina ya ajabuajabu kana kwamba una uchungu sana na simba,umewahi kutoa hata thumni tu hapo simba
kamuulize vizuri Hasan bumbuli alivyomshukia kama mwewe baada ya huyo shujaa wako kushangilia tyre la mbele la basi la utopolo kupasuka almanusura wachezaji wafe au kupata ulemavu, huyo ndiye mtu unayekazania nimuheshimu?Usimshambulie mtu kwa ulemavu wake
bado amebarikiwa vizuri tu na muumba....
Haji will never be my herokamuulize vizuri Hasan bumbuli alivyomshukia kama mwewe baada ya huyo shujaa wako kushangilia tyre la mbele la basi la utopolo kupasuka almanusura wachezaji wafe au kupata ulemavu, huyo ndiye mtu unayekazania nimuheshimu?