Tuweke siasa Pembeni: Hivi Wabunge watapitisha kifungu cha UKOMO (miaka 10) wa Mbunge?

Tuweke siasa Pembeni: Hivi Wabunge watapitisha kifungu cha UKOMO (miaka 10) wa Mbunge?

Mandla Jr.

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2013
Posts
3,098
Reaction score
631
Wana JF,

Rasimu ya Katiba mpya ina vipengele muhimu sana kwa nchi yetu.Lakini kuna vifungu ambavyo vinawahusu Wabunge na Mawaziri moja kwa moja. Na wao watakuwepo wakati wa upitishaji au kutopitisha vifungu hivyo wakati wa Bunge la Katiba.

Wadau wengi wamependekeza kuwepo kwa ukomo wa Mbunge ambapo itakuwa ni miaka kumi (10). Swali Je, Wabunge wwenyewe ambao watakuwa
wengi watakubali kifungu hiki kipitishwe?

Kuna Wabunge wengi sana ambao ni wazee (Vibabu) wako Bungeni, wengine toka tukiwa wadogo tunawasikia mpaka leo wapo....na hawataki kuachia. Watakubali kweli kuwepo na Ukomo wa Mbunge?
 
kwa miaka 10 ni kidogo angalau miaka 15
 
Ndugu yangu Mandla tusibiri tuone maana wabunge wa Tanzania wako kimaslahi zaidi. Je wa viti maalum watakubali kipengele cha wao kufutwa kiwepo?
 
Hapa ndipo utajua kwa nini watu wanaacha profession zao wanakimbilia kwenye siasa!
 
mkuu wabunge wanaozungumziwa katika katiba hii ni wabunge wa Jamuhuri ya Muungano wa tanzania ambao wnachaguliwa wawili kutoka kila Mkoa.Hivyo basi wabunge watakaokuja kuwakilisha majimbo ya uchaguzi kama walivyo sasa bado utaratibu wake haujaeleweka kwa kuwa bado katika ya Tanganyika haitapatikana.
Wana JF,
Rasimu ya Katiba mpya ina vipengele muhimu sana kwa nchi yetu.
Lakini kuna vifungu ambavyo vinawahusu Wabunge na Mawaziri
moja kwa moja. Na wao watakuwepo wakati wa upitishaji au kutopitisha
vifungu hivyo wakati wa Bunge la Katiba.

Wadau wengi wamependekeza kuwepo kwa ukomo wa Mbunge ambapo
itakuwa ni miaka kumi (10). Swali Je, Wabunge wwenyewe ambao watakuwa
wengi watakubali kifungu hiki kipitishwe??????

Kuna Wabunge wengi sana ambao ni wazee (Vibabu) wako Bungeni, wengine toka
tukiwa wadogo tunawasikia mpaka leo wapo....na hawataki kuachia. Watakubali
kweli kuwepo na Ukomo wa Mbunge?????
 
Mkuu mimi na wewe tunajua kabisa kuwa hawatakubali na kama itasimamiwa kidete basi waweza wakakubali atleast muda wao uwe wa vipindi vitatu [miaka 15]
 
Time limit kwa wabunge useless clause ningekuwa na wasaa ningepinga kwa nguvu zote..

Time limit iishiee kwa Rais tu..
 
Mim katika suala la term ziwe ngapi halinitii wasiwasi, kwani wananchi tukiwa wapevu kifikra tunaweza kuwahukumu kwenye masanduku ya kura na hata term ya pili ikawa ni yakufikirika tu kwa watakaokuwa wazembe katika kudeal na matatizo ya wapiga kura wao.
 
Time limit kwa wabunge useless clause ningekuwa na wasaa ningepinga kwa nguvu zote..

Time limit iishiee kwa Rais tu..
Najaribu kufikiri unafuu atakaopata mwananchi kwa uwepo wa huo ukomo nakosa jibu. Kuna mambo ya ovyo tuliyowekewa kwenye rasimu ambayo watu hawataki kuyaangalia kabisa.
 
Hili wananchi tunaweza liamua kwenye masanduku ya kura, issue ambayo ipo hot ni ya Je tuwe na serikali tatu ama moja tu kwa kulinda muungano. Structure ya serikali mbili kwa nchi mbili zilizoungana haipo kabisa hata kwenye hekaya za Abunuasi.
 
Time limit kwa wabunge useless clause ningekuwa na wasaa ningepinga kwa nguvu zote..

Time limit iishiee kwa Rais tu..
kwanini unadhani unafaa kwa raisi na kwawabunge haifai?
 
kwa miaka 10 ni kidogo angalau miaka 15

Kidogo kivipi? Kama Mbunge atakuwa mtendaji mzuri ndani miaka 5 mtaona tu...
Ila kama yuko kimaslai hata miaka 35...no maendeleo
 
Ndugu yangu Mandla tusibiri tuone maana wabunge wa Tanzania wako kimaslahi zaidi. Je wa viti maalum watakubali kipengele cha wao kufutwa kiwepo?

Viti Maalumu ni kazi pevu kabisa.

Hivi Anna Abdallah toka zamani kweli ni viti maalum,,,,Atakubali kweli kipengele
hicho kifutwe???
 
kwanini unadhani unafaa kwa raisi na kwawabunge haifai?

Kwasababu urais ni taasisi kubwa ambayo mtu anaweza ku dikteta na kubadili sheria kadhaa

Mbunge kukiwa na tume huru ya uchaguzi ataondolewa na wananchi

Mbunge akiwa muwakilishi mzuri wa wananchi hakuna haja ya time limit up to infinity
 
Viti Maalumu ni kazi pevu kabisa.

Hivi Anna Abdallah toka zamani kweli ni viti maalum,,,,Atakubali kweli kipengele
hicho kifutwe???
Kuna watu wana hati miliki ya viti maalum na inabidi waitwe vitu maalum akiwa na sophia Simba. Ila mwisho wa yote nawaomba sana wawe makini nchi hii ni yetu sote na wala si ya CCM wala CHADEMA
 
ukomo ni muhimu hata kama ni miaka 10,15 au 20 lakini suala la elimu ni muhimu sana. Ni aibu kubwa kwa dunia ya leo kuwa na mbunge ambaye hana hata elimu kiwango cha kidato cha sita au Diploma
 
Back
Top Bottom