ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Mtangazaji Mpenja akazidi kulinadi soka lile kwa kusema linapendeza unaliangalia huku ukitupia bisi moja moja mdomoni!
Nilikaa jirani na mashabiki baadhi wa timu ya upande mwingine tena baadhi yao wakiwa na jezi zao yaani wametulia tulii hawakutoa maoni yeyote lkn nadhani nao pia wameburudika sana jioni ya jana!
Taifa kwa sasa halipati burudani nyingine tamu ya soka popote pale zaidi ya Yanga ichezapo na hili halina ubishi maana tafiti zisizo rasmi zimeonyesha siku yanga inacheza mashabiki wengi wa soka huenda uwanjani au hukusanyika katika pubs,hotels,mabanda umiza na majumbani wakifuatilia mtanange...hakuna timu nyingine inayothubutu ...
Hongera sana wachezaji na benchi lote la ufundi kwa uwajibikaji wenu mnaotuonyesha,taifa linasubiri burudani zingine siku ya jumanne na pia siku ya sikukuu jumapili..huku tukiwasubiri hao Us Monastry tuje tuwashikishe adabu kama ndugu zao.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Nilikaa jirani na mashabiki baadhi wa timu ya upande mwingine tena baadhi yao wakiwa na jezi zao yaani wametulia tulii hawakutoa maoni yeyote lkn nadhani nao pia wameburudika sana jioni ya jana!
Taifa kwa sasa halipati burudani nyingine tamu ya soka popote pale zaidi ya Yanga ichezapo na hili halina ubishi maana tafiti zisizo rasmi zimeonyesha siku yanga inacheza mashabiki wengi wa soka huenda uwanjani au hukusanyika katika pubs,hotels,mabanda umiza na majumbani wakifuatilia mtanange...hakuna timu nyingine inayothubutu ...
Hongera sana wachezaji na benchi lote la ufundi kwa uwajibikaji wenu mnaotuonyesha,taifa linasubiri burudani zingine siku ya jumanne na pia siku ya sikukuu jumapili..huku tukiwasubiri hao Us Monastry tuje tuwashikishe adabu kama ndugu zao.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app