Tuweke utaratibu mzuri, wanadiplomasia wetu siyo Wahasibu/CPA's!

Tuweke utaratibu mzuri, wanadiplomasia wetu siyo Wahasibu/CPA's!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
1672775236790.png
1672775245917.png


Hawa diplomasia ambao hawajui chochote kuhusu mambo ya Fedha kuwapa majukumu ya kujua kila kitu kuhusu pesa na budget zao ni tatizo. Hiyo ingetakiwa kuwa kazi ya watu wengine na inawezekana kabisa serikali ingetoa kazi hii kwa chombo kimoja badala ya kuwapa kazi ambazo hawaziwezi. Yaani kuwa balozi sio lazima uwe na CPA. Raisi Samia anaongea kama vile hawa si wazalendo.

Kitendo cha kuwapa majukumu ya kuwa kama CPA ni zaidi ya uwezo wa diplomasia wengi na kwa mwenendo huu tutabaki na CPAs kama mabalozi badala ya wana diplomasia. Hawa diplomasia hawajui lolote kuhusu CAG.

Inasemekana balozi wetu umoja wa mataifa kafukuzwa kwasababu ubalozi umetumia pesa vibaya lakini ni vigumu kwa balozi kufanya kazi ya ubalozi na kufuatilia matumizi ya pesa za balozi. Hii kazi ya kufuatilia pesa na matumizi ingepewa kitengo maalumu na sio wanadiplomasia wetu
 
Tunawapa walimu wakuu waganga wakuu majukumu ya wahandisi na wasimamizi wa ujenzi. Wasimamie pesa na ubora.
 
Mleta mada hueleweki kabisa ukichoandika
Aliyemwelewa atufafanulie
 
View attachment 2468275View attachment 2468276

Hawa diplomasia ambao hawajui chochote kuhusu mambo ya Fedha kuwapa majukumu ya kujua kila kitu kuhusu pesa na budget zao ni tatizo. Hiyo ingetakiwa kuwa kazi ya watu wengine na inawezekana kabisa serikali ingetoa kazi hii kwa chombo kimoja badala ya kuwapa kazi ambazo hawaziwezi. Yaani kuwa balozi sio lazima uwe na CPA. Raisi Samia anaongea kama vile hawa si wazalendo.

Kitendo cha kuwapa majukumu ya kuwa kama CPA ni zaidi ya uwezo wa diplomasia wengi na kwa mwenendo huu tutabaki na CPAs kama mabalozi badala ya wana diplomasia. Hawa diplomasia hawajui lolote kuhusu CAG.
Mabalozi huwa ni Accounting Officers kwenye balozi zao kama ilivyo kwa Wakuu wa Taasisi za Serikali na Makatibu Wakuu wa Wizara; hivyo wao ni wasimamizi tu na wanakuwa na Wahasibu kwenye hizo Balozi. Siyo Accounting Officers wooote ni CPAs, wengi siyi kabisaa ila wana CPAs kwenye Idara zao za fedha.
 
Mleta mada hueleweki kabisa ukichoandika
Aliyemwelewa atufafanulie


Nimeongezea na kukurahisishia maana elimu ya siku hizi siwezi kuwalaumu vijana ni wazito sana siku hizi
 
Mabalozi huwa ni Accounting Officers kwenye balozi zao kama ilivyo kwa Wakuu wa Taasisi za Serikali na Makatibu Wakuu wa Wizara; hivyo wao ni wasimamizi tu na wanakuwa na Wahasibu kwenye hizo Balozi. Siyo Accounting Officers wooote ni CPAs, wengi siyi kabisaa ila wana CPAs kwenye Idara zao za fedha.
Pia mleta mleta mada haelewi CPA course yake sio ya kitoto unasoma mambo mazito sana ndio maana hata mtu akiwa ns PhD msgumu sana kufaulu.Kufaulu kichwa lazima kiwake moto

Kuna masomo mule hatari Yakiwemo ya uchumi na fedha ya kimataifa ,mambo ya uwekezaji nk

Mleta mada nadhani ana yale ya kizamani kuwa diplomacy ni kuvaa vizuri kujua table manners na etiquette za kuongea ,kushake hands nk

Sasa hivi tuko Diplomacy ya uchumi na fedha

Wanatakiwa watu wanaojua mambo hayo sio tu wasmukia shikamoo raisi na wahudhuria tu dhifa xa kitaiifa nchi hudika wakiwa wamelamba suti classic!!
 
Mleta mada je unamaanisha huyo wa juu ndio balozi aliyerudishwa nyumbani kutokea newyork???

Mwanzoni mwa tangazo mama aliongelea pia MATUMIZI MAKUBWA kwenye balozi zetu
 
Nimeongezea na kukurahisishia maana elimu ya siku hizi siwezi kuwalaumu vijana ni wazito sana siku hizi
Balozi wa Marekani nchini Tanzania ni daktari wa binadamu sio mwana diplomasia aliyesomea vyuo vya dipolomasia hilo unalisemeaje?
 
Balozi zetu hazizidi wafanyakazi 15, kama Balozi anashindwa kusimamia matumizi ya budget ndogo kiasi hiki basi hastaili hata kupewa nafasi hiyo.

Sio kila director wa Kampuni ni CPA bali ni sehemu ya majuku yake kuhakikisha pesa za Kampuni zitatumika kwa ufanisi
 
Back
Top Bottom