Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Wapo wanaosingizia kila kitu mapenzi ya mungu
mpaka jana namuuliza mama didy hivi huyu mungu ana mapenzi mangapi kila mtu akifa
kwa kujitakia mapenzi yake kwa bahati mbaya mapenzi yake ...kwa kukusuudia yake pia
basi ukitaka mungu awasamehee unaowacha kwa uzembe wako naomba siku mbili zilizobaki
kuelekea mwaka mpya ni nyingi kuliko miaka 100 ya nyuma
tuwe makini kwenye sehemu tunazoenda
ukatishaji wa barabara nao ni muhimu zaidi
uendeshaji wa pikipiki muwemakini sana hasa mnapobeba nyumba zenu kubwa
endelea kumkumbatia mungu wako aliekufishika mpaka sasa ni huyo huyo anaekuvusha to 2012
beter is not good enough best is yet to come
l'ya all
happy new yr 2012
imenidibidi niandike mwaka unajua haata mapepo yana miaka yao sasa hujui wao leo ndio mwakampya wao ama lah tunatakiana tu mwaka mpya mwaka mpya
mpaka jana namuuliza mama didy hivi huyu mungu ana mapenzi mangapi kila mtu akifa
kwa kujitakia mapenzi yake kwa bahati mbaya mapenzi yake ...kwa kukusuudia yake pia
basi ukitaka mungu awasamehee unaowacha kwa uzembe wako naomba siku mbili zilizobaki
kuelekea mwaka mpya ni nyingi kuliko miaka 100 ya nyuma
tuwe makini kwenye sehemu tunazoenda
ukatishaji wa barabara nao ni muhimu zaidi
uendeshaji wa pikipiki muwemakini sana hasa mnapobeba nyumba zenu kubwa
endelea kumkumbatia mungu wako aliekufishika mpaka sasa ni huyo huyo anaekuvusha to 2012
beter is not good enough best is yet to come
l'ya all
happy new yr 2012
imenidibidi niandike mwaka unajua haata mapepo yana miaka yao sasa hujui wao leo ndio mwakampya wao ama lah tunatakiana tu mwaka mpya mwaka mpya