Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Revolution is bitch gameTuyaenzi Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar 1964 Milele na Milele. Zanzibar ndio alama yetu pekee tunayoitegemea hapa Visiwani. CCM oyee.
NB: Karibuni katika sherehe ya kusherehekea miaka 60 ya kumfurusha Sultani.
Naunga mkono hoja, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yaenziwe milele ndio maana yanaitwa ni Mapinduzi Daima!, ambayo ndio yaluyotuletea huu muungano wetu adhimu ambao tutaulinda kwa gharama yoyote.Tuyaenzi Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar 1964 Milele na Milele. Zanzibar ndio alama yetu pekee tunayoitegemea hapa Visiwani. CCM oyee.
NB: Karibuni katika sherehe ya kusherehekea miaka 60
Nawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.Naunga mkono hoja, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yaenziwe milele ndio maana yanaitwa ni Mapinduzi Daima!, ambayo ndio yaluyotuletea huu muungano wetu adhimu ambao tutaulinda kwa gharama yoyote.
P
InshaAllahNawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
P
Asante sanaTaanzania Taanzania! Nakupenda kwa moyo wote ndani ya Mapinduzi ya Zanzibar 😆😆😆
Zanzibar huru ilidumu miezi 3 tu (Januari - April 1964). AsanteniNawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
P
Kama nakuelewa vile!Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya mwaka 1964 NI Jambo adhimu kwa nchi yetu. Hivyo nikiwa Mzalendo halisi wa nchi yangu ninayo wajibu wa Kuyaenzi l
, kuyatukuza na kuyalinda Mapinduzi daima.
Chogo punguza shoboZanzibar ni nchi?
Umeshiba urojo?C
Chogo punguza shobo