Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Haki za mtoto zimekuwa sehemu ya sheria mbalimbali za nchi yetu.
Pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Mtoto ya mwaka 2009, Katiba
Inayopendekezwa katika IBARA YA 53 imeimarisha misingi ya kuzitambua haki za mtoto kikatiba.
Jambo hili limetokana na hali halisi ya mazingira wanayokabiliana nayo watoto katika nchi yetu.
Katiba Inayopendekezwa inalenga kuhakikisha kwamba zinakuwepo sheria mahsusi za kuwalinda watoto dhidi ya ubaguzi na unyanyasaji wa aina zote.
View attachment 236119
Pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Mtoto ya mwaka 2009, Katiba
Inayopendekezwa katika IBARA YA 53 imeimarisha misingi ya kuzitambua haki za mtoto kikatiba.
Jambo hili limetokana na hali halisi ya mazingira wanayokabiliana nayo watoto katika nchi yetu.
Katiba Inayopendekezwa inalenga kuhakikisha kwamba zinakuwepo sheria mahsusi za kuwalinda watoto dhidi ya ubaguzi na unyanyasaji wa aina zote.
View attachment 236119