Tuzikatae lugha zisozokuwa na staha kwenye mambo ya msingi

Tuzikatae lugha zisozokuwa na staha kwenye mambo ya msingi

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kama Taifa tuna mambo ya msingi sana mbele yetu kutumia muda wetu kurushiana matusi.

Bila ya kujali itikadi zetu tuyakatae yote yanayodhalilisha utu wa mtu, bila ya kujali mlengwa au mlenga kwa cheo, mhusika au chama.

Mambo kama haya:

IMG_20210704_143127_720.jpg


Kauli kama:

1. "Tulizo Mat*ko wewe!"
2. "U baji na M@vi yako nyumbani."
3. "Kina mama mnataka kupalilia."
4. Nk

Kumekuwa na kauli zingine kama hizi "tuwaue au tumwue" zikitolewa na vigogo wa vyama hadharani. Kwa hakika hizi hazikubaliki kwani hata ni makosa ya jinai.

Haijalishi ni chama gani au dhamana gani anayo mtoa kauli kama hizo kwa kweli hazifai.

Kama taifa tunaweza kuuweka uwanja wetu wa makabiliano kuwa wa kushindana kwa hoja zaidi wala si matusi.

Ninawasilisha.
 
Kuna Clip ya Bwana Katambi akisema "kunyoa nyoa wapinzani kwa wembe ule ule" ninajaribu kuupandisha pia hapa.

Tutofautishe vijembe vya kisiasa na matusi ambayo ni jinai. Matusi kwao ni mahakamani.
 
Noted
Leo anapewa heshima na mwanajeshi.Tuna shida kubwa sana
 
Noted
Leo anapewa heshima na mwanajeshi.Tuna shida kubwa sana

Funguka zaidi mkuu bado hujasomeka wengine leo tuko angle mbaya kujua nini kipo duniani.
 
Back
Top Bottom