Tuzo ya Ballon d'Or kutotolewa mwaka huu

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Kwa mara ya kwanza katika historia tuzo ya Ballon d'Or mwaka huu haitotolewa kwa sababu hakutokuwa na usawa kutokana na namna janga la virusi vya corona lilivyoathiri taratibu za uchezaji soka. Tuzo hiyo imekuwa ikitolewa kwa mwanasoka bora duniani tangu mwaka 1956.

====

The Ballon d'Or will not be awarded this year due to the extraordinary conditions created by the coronavirus pandemic, organisers France Football announced on Monday.

It will be the first time the trophy given for the world's best men's footballer has not been awarded since Englishman Stanley Matthews won the inaugural edition in 1956.

"There will be no edition in 2020, because it turns out, after thoughtful consideration, that all the conditions are not met," said Pascal Ferre, the editor of the magazine.

The COVID-19 outbreak saw all major football leagues shut down in March, with the German Bundesliga the first to resume behind closed doors in May.

France Football said it would be unfair to vote on the world's best player when some leagues, including the French Ligue 1, cancelled their seasons early.

Ferre also suggested that it would not be right to judge players based on games played without spectators present.

"We believe that such a singular year cannot... be treated as an ordinary year," he added.

"Two months (January and February), out of the eleven generally required to form an opinion and decide who should lift the trophies, represent far too little to gauge and judge, without forgetting that the other games were played –- or will be played –- in unusual conditions (behind closed doors, with five replacements, Champions League's Final 8 played in a single game)."

Lionel Messi won a record-breaking sixth Ballon d'Or last year.

The women's Ballon d'Or, which was first awarded in 2018, has also been cancelled, as have the Kepa Trophy, given to the best young player, and the Yashin award for best goalkeeper.

"This decision, which was taken of course with all the group stakeholders, does not delight us but it seems to be the most responsible one," said Ferre.

"Protecting the credibility and legitimacy of such an award also means ensuring its flawlessness over time."

France Football added that it was looking forward to holding a ceremony in 2021, but that this year it would instead organise a vote for the all-time greatest men's XI.
 
Wameamua kuacha kama ilivyo sio baada ya kuona mwenendo wa timu ya andunje haumbebi kuchukua tena sio?

Zile injini kufeli au kuondoka pale ndo ulikuwa mwisho wa andunje, team iliyoshikamana toka La Masia ilipoanza kupungua, uwezo wa andunje nao ukaaza kuyumba na jumla ya timu yote nadhani.

Kununua na kuweza kuwaunganisha wachezaji wageni haikuwa sehemu ya Barca, ni vile unakuta kikosi kimekosa natural goal scorer, basi ndo wanaleta wakina Suarez n.k, ila walihakikisha La Masia yote iliyozoeana na andunje inarudi kumng'arisha na kuing'arisha timu. Anza na usajili wa Pique kutoka Man Utd n.k
 
Baada ya kuona kuwa lewandowsk atamgaragaza mpe dwa wao messi
 
Wangempa tu lendowisk jamaa kafanya vizuri mwaka huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…