kuna wapumbavu wengi sana TanzaniaHivi na akili zako, unaamini kabisa kwenye kupiga kura? Mimi nadhani hata kama alipata kura nyingi kiasi gani, wenye akili timamu wasingempa tuzo! Maneno kama "nyoka hana kiuno ndio maana havai shanga", wewe na akili zako ungempigia kura??? CRAP CRAP CRAP!!
Wa kulaumiwa ni hawa waliompitisha hadi kushindana......they are the crapiest...
hivi na akili zako, unaamini kabisa kwenye kupiga kura? Mimi nadhani hata kama alipata kura nyingi kiasi gani, wenye akili timamu wasingempa tuzo! Maneno kama "nyoka hana kiuno ndio maana havai shanga", wewe na akili zako ungempigia kura??? Crap crap crap!!
Kama hamkumpigia kura Mjomba mlitaka apiteje sasa.Wabongo bwana mabahili afu tunaishia kulalamika wakati hatukufanya jitihada za kufanikisha chaguo letu spate tuzo.
Hivi nyimbo kama shangazi ya Mpoki. Utailinganisha na Adela ya Mrisho Mpoto? Msanii kama Mpoki unaweza kumlinganisha na Mrisho Mpoto. Hivi kwa Mashairi ya Shangazi mfano "Umepewa wizara Nyeti kuliko Nyeti tulizonazo". Alistahili kupewa Tuzo?
mkuuu hii ni TUZO ambayo ilikosewa kabisaaaaa! yaani hakustahili kupewa tuzo hiyo! MPOKI RUDISHA TUZO MKUUU MWENYEWE UNAJUA UWEZO WAKO MDOGO.Hivi nyimbo kama shangazi ya Mpoki. Utailinganisha na Adela ya Mrisho Mpoto? Msanii kama Mpoki unaweza kumlinganisha na Mrisho Mpoto. Hivi kwa Mashairi ya Shangazi mfano "Umepewa wizara Nyeti kuliko Nyeti tulizonazo". Alistahili kupewa Tuzo?
mkuuu umenichekesh hapa na jamaaa anazunguka mawizarani kuchekacheka kama kawaida yake!Mbona JK na Dr Slaa waliwekwa kundi moja la kugombea upresidal na JK akashinda ? Hapo je hamshangai pia ? Crap sio tuzo, crap ni wapiga kura !!!! :juggle:
Mpoki alikua anaji advertise kupitia comedy show ya TBC Kuomba kura.
Mrisho mpoto had no that Chance.
Hivi nyimbo kama shangazi ya Mpoki. Utailinganisha na Adela ya Mrisho Mpoto? Msanii kama Mpoki unaweza kumlinganisha na Mrisho Mpoto. Hivi kwa Mashairi ya Shangazi mfano "Umepewa wizara Nyeti kuliko Nyeti tulizonazo". Alistahili kupewa Tuzo?