Tuzo ya Rais iitwe " Champion of Joy" siyo Champion of Comedy, Prof Kabudi rekebisha hiyo!

Tuzo ya Rais iitwe " Champion of Joy" siyo Champion of Comedy, Prof Kabudi rekebisha hiyo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa tafsiri sahihi comedy ni mizaha inayopelekea Watu kucheka ama kwa furaha au maudhi

Ndio sababu siyo kila anayechekesha ni comedian wengine wako very natural

Tuzo ya Rais Samia ilipaswa kuitwa Champion of Joy kwa sababu anatuletea Furaha Watanzania

Prof Kabudi wewe ni Mzee wangu wa Kanisa nadhani umeelewa vizuri

Mungu wa Mbinguni mbariki Rais Samia 🌹
 
😏
1000024959.jpg
 
Kwa tafsiri sahihi comedy ni mizaha inayopelekea Watu kucheka ama kwa furaha au maudhi

Ndio sababu siyo kila anayechekesha ni comedian wengine wako very natural

Tuzo ya Rais Samia ilipaswa kuitwa Champion of Joy kwa sababu anatuletea Furaha Watanzania

Prof Kabudi wewe ni Mzee wangu wa Kanisa nadhani umeelewa vizuri

Mungu wa Mbinguni mbariki Rais Samia 🌹
Ndio mshampa tena siunajua uchawa unapozidi hata mambo ya msingi hayatazamwi zaidi yakutafuta sifa ndio matokeo yake
 
Watanzania ni watiifu kwa matumbo yao hakuna cha uzalendo wala nini.
 
Hiyo zero brain ndicho wanachostahili kumpa, kichwani hamna kitu pale kazi kupenda sifa za kijuha!!.
 
Kwa tafsiri sahihi comedy ni mizaha inayopelekea Watu kucheka ama kwa furaha au maudhi

Ndio sababu siyo kila anayechekesha ni comedian wengine wako very natural

Tuzo ya Rais Samia ilipaswa kuitwa Champion of Joy kwa sababu anatuletea Furaha Watanzania

Prof Kabudi wewe ni Mzee wangu wa Kanisa nadhani umeelewa vizuri

Mungu wa Mbinguni mbariki Rais Samia 🌹
Ndege wafanano
 
Kwa tafsiri sahihi comedy ni mizaha inayopelekea Watu kucheka ama kwa furaha au maudhi

Ndio sababu siyo kila anayechekesha ni comedian wengine wako very natural

Tuzo ya Rais Samia ilipaswa kuitwa Champion of Joy kwa sababu anatuletea Furaha Watanzania

Prof Kabudi wewe ni Mzee wangu wa Kanisa nadhani umeelewa vizuri

Mungu wa Mbinguni mbariki Rais Samia 🌹
Ndege wafanano
 
Back
Top Bottom