Tuzo ya Rais iitwe " Champion of Joy" siyo Champion of Comedy, Prof Kabudi rekebisha hiyo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa tafsiri sahihi comedy ni mizaha inayopelekea Watu kucheka ama kwa furaha au maudhi

Ndio sababu siyo kila anayechekesha ni comedian wengine wako very natural

Tuzo ya Rais Samia ilipaswa kuitwa Champion of Joy kwa sababu anatuletea Furaha Watanzania

Prof Kabudi wewe ni Mzee wangu wa Kanisa nadhani umeelewa vizuri

Mungu wa Mbinguni mbariki Rais Samia ๐ŸŒน
 
Aiseee๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”
 
Ndio mshampa tena siunajua uchawa unapozidi hata mambo ya msingi hayatazamwi zaidi yakutafuta sifa ndio matokeo yake
 
Watanzania ni watiifu kwa matumbo yao hakuna cha uzalendo wala nini.
 
Hiyo zero brain ndicho wanachostahili kumpa, kichwani hamna kitu pale kazi kupenda sifa za kijuha!!.
 
Ndege wafanano
 
Ndege wafanano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ