brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Licha ya kutajwa kwenye vipengele 5 msanii maarufu nchini Diamond ameambulia patupu huku tuzo kubwa zikienda kwa Yemi Alade, Wizkid na Fally Ipupa.
Wizkid ameshinda wimbo Bora wa mwaka kupitia hit song yake ya SOCO, Huku Fally Ipupa akishinda tuzo ya artist of year.
Yemi alade amejinyakulia tuzo ya female artist of the year.
Eddy Kenzo kutokana Uganda akishinda best East Africa artist of the year
Ikumbukwe wiki iliopita katika nomination za MTV EMMA 2018 Diamond alipigwa chini licha ya kuonekana anafanya vizuri nchini
Wizkid ameshinda wimbo Bora wa mwaka kupitia hit song yake ya SOCO, Huku Fally Ipupa akishinda tuzo ya artist of year.
Yemi alade amejinyakulia tuzo ya female artist of the year.
Eddy Kenzo kutokana Uganda akishinda best East Africa artist of the year
Ikumbukwe wiki iliopita katika nomination za MTV EMMA 2018 Diamond alipigwa chini licha ya kuonekana anafanya vizuri nchini