Tuzo za Afrimma 2018, Diamond aambulia patupu, Wizkid na Fally Ipupa wang'aa

Ushahidi wako umesaidia nini mkuu?kakosa yeye kama yeye aseme asante omarion bana.

Halafu maandalizi ya huu wimbo alikuwepo mwanamke wa shoka
Tatizo walosema kakosa hawana ushahidi mi nilikuja kutoa ushahidi
 
Exactly kwa mujibu wa mleta uzi. [emoji23][emoji23][emoji23]timu nanii msiliee
Vipi yule straika wa kosto yunioni AKA mzee wa Mo Faya anayesugua benchi alikuwa nominated award yoyote? Au alialikwa hata kuangalia shoo live?
 
Ndo bwana ako huyo au?maana unaonekana unampenda sana
Vipi yule straika wa kosto yunioni anayesugua benchi alikuwa nominated award yoyote? Au alialikwa hata kuangalia shoo live?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]jipige doko. Afu usinihusishe ni timu kalumanzira,kamgambire mfyuuuu

Ua jekundu lilipiga mtu chini bana
Hahaa! You're too smart to believe ni Zari ndie kamuacha Mondi!!! Hivi unakuta Boyfriend wako anashikwashikwa kwa mahaba na ex wake! Katika hali ya kawaida unajua kabisa kwamba ataomba msamaha lakini hafanyi hivyo lakini ndo kwanza anazidisha!

Hivi hapo uki-move on ndo ujigambe kwamba umeacha?!
 
Best collaboration.. Diamond Platinumz.
 
haha haa Aya ya mwisho daaahh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…