Tuzo za Muziki "Tanzania music Award" hazina mvuto kabisa,Diamond Ana haki kuzikataa

Tuzo za Muziki "Tanzania music Award" hazina mvuto kabisa,Diamond Ana haki kuzikataa

Lugano5

R I P
Joined
Jul 15, 2010
Posts
4,520
Reaction score
757
Wakuu,

Nafatilia tuzo za Muziki Tz ,aisee kinachoendelea hazina Radha kabisa.

Zinarushwa kupitia king'amuzi Cha Azam, sinema zetuaaa

#nashauri,warejee nyuma zilivyokuwa.
 
1682802501497.png
 
Usitupe porojo.. Hato votiwa au kushinda... Muoga.. akubari kuna wasanii wengi na wanatunga nyimbo nzuri bila mat*usi.
Kumbe mnataka nyimbo zisizo na matusi, ukiona yanakukera usizisikilize kabisa.

Binafsi siwezi kuongea bila matusi na wala haina maana sina nidhamu
 
Back
Top Bottom