Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Hii ni habari njema kwa Music Industry yetu kwani baada ya mwaka jana (21 October 2023) tuzo hizi kufanyika BK Arena huko Kigali, Rwanda, sasa ni zamu yetu.
Tuzo za Muziki zinazoandaliwa na Trace Group, zitafanyika Zanzibar Februari 24-26 Zanzibar, Tanzania kwenye hoteli ya The Mora.
"Sasa ni rasmi tuzo za muziki za TRACE zitafanyika Zanzibar" - Seven Mosha amesema kwenye mkutano wa waandishi wa habari hoteli ya the mora, Zanzibar.
Tuzo za Muziki zinazoandaliwa na Trace Group, zitafanyika Zanzibar Februari 24-26 Zanzibar, Tanzania kwenye hoteli ya The Mora.
"Sasa ni rasmi tuzo za muziki za TRACE zitafanyika Zanzibar" - Seven Mosha amesema kwenye mkutano wa waandishi wa habari hoteli ya the mora, Zanzibar.