hii ragga na reggae hapa napata tabu saana, nikiona au kusikia nyimbo hizo, ma man tuko wapi!
Enh mwakani ntajitosa maana naona bado sijaguswa vilivyo katika anga hiyo ya midundo ya hisia na mikito ya kufa, mwagito mwagalinoma muko wapi? Nganyagwa, jhiko man, jet man, slim daddy, na wengineo......................hapa kuna watu wanaonekana kulala.....................