Tuzo za Taifa kutoka kwa member wa JF

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Je unapenda kumpa mtu yeyote tuzo ya taifa Kwa matukio yake anayoyafanya Kwa jamii ?

Kazi kwako kutiririka.

Wakwangu natoa Tuzo za taifa kwa hawa watu.

__Piere liquid huyu nampa Tuzo ya mlevi wa Taifa,


__Stive Nyerere huyu nampa Tuzo ya Mfiwa wa Taifa,

Nikija kwenye member wa jamii forum

__Gudume nampa Tuzo ya mpenda papuchi wa Taifa,

__Mshana Jr nampa Tuzo ya mchawi wa Taifa



Kazi kwako kutoa tuzo.


Cc_Zero IQ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…