Tuzungumze kuhusu kujitolea kwenye kazi ya mtu huku yeye anaingiza pesa

Tuzungumze kuhusu kujitolea kwenye kazi ya mtu huku yeye anaingiza pesa

Official Ric

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
31
Reaction score
75
Kuna uzi niliuandika namna gani kijana anayemaliza chuo anapaswa afanye ili aweze kuishi vizuri mtaani, nashukuru wanajukwaa kwa mwitikio wenu mzuri ila kuna baadhi ya wanajukwaa wansema kujitolea kwenye makampuni sawa ni wazo zuri kwa ajili ya kutengeneza CV yako, tatizo linakuja kuna baadhi ya makampuni kijana anajitolea anafanya kazi kwa moyo na Bidii lakin hakuna hata hela ya maji.

Uko unatoka nyumbani kwenda kazini lakini kila kitu kipo juu yako nauli utajigharamia chakula na bando yaani kila kitu ni juu yako utafikiri unafanya kazi za kanisa kumbe unafanya kazi kwenye kampuni ya mtu na unamtengenezea mtu faida.

Unajikuta unatumia mda mwingi kwenye kujitolea afu hupati kitu ata kama unapata basi ni kidogo sana hata hakikidhi mahitaji yako ya mwezi na Bado umri unazidi kusogea lakini labda hta ungeuza juice ya miwa ungetengeneza mara 2 au 3 ya ela unayoipata hapo kwenye hiyo kampuni na pia bado vijana wa kujitolea wanapitia mengi sana maofisini kama kutumwa chai na mabosi na kuwaoshea Magari.

Basi mimi ombi langu kwa wenye maofisi wawajali vijana wanaojitolea kwenye ofisi zao na pia sisi vijana tufanye kazi kwa biidi tuoneshe ufanisi wetu wa kazi na pia sisi kama wasomi tunafundishwa namna ya kutatua matatizo katika jamii, hivyo tuangalie tunasaidiaje vijana wanaomaliza vyuo au tunarekebishaje mitaala ili angalau kijana ajifunze ujuzi mbali mbali atakapo kuwa chuo ambao ni mbali na Field yake anayoisomea ili tumtengeneze kijana Bora katika Jamii.

Kwa Mfano kijana anayemaliza form six tunampeleka JKT miezi mitatu kwa nini tusingempeleka moja kwa moja Veta akapate ujuzi ambao utamsaidia yeye katika maisha yake au kijan baada ya kumaliza form 4 angeenda moja kwa moja VETA kabla ya kwend Form V au chuo.

Tungetengeneza vijana wapambanaji katika Jamii. Hayo ni maoni yangu vipi kuhus ww hapo mwanajukwaa ebu tujadili pamoja.
 
Mwanafunzi wakimaliza chuo waulizwe unataka kujiajiri au kuajiriwa ukikibali kuajiriwa upewe cheti chako ukapambane mtaani ukitaka kujiajiri upewe mtaji milioni kumi kwa kuanzia kila anayetaka kujiajiri cheti chako kitatunzwa wewe ubaki na copy zakuombea kazi siku ukipata kazi unalipoti kwenye hyo taasisi ya serikali itakayo kuwa imepewa dhamana yakutoa mikopo hyo wanakupa cheti chako original na barua ya kwenda kwa mwajiri wako ili uanze kuludisha mkopo wao. Husipo pata kazi kabisa tutakubana uko kwenye kodi mtaani kupitia biashara yako. Kwa kifupi kila mwaka serikali walau itenge bilioni 200 ambazo kwa milioni 10 kwa kila muhitimu wa chuo kikuu ni watu elfu 20 kwahyo unakuwa uepunguza gape uku umeongeza wigo wa kukusanya kodi.
 
Kwamba Elimu / Experience sio Kitu ? Mbona shule ulilipia Elimu ?

Sisemi ni sawa au sio sawa ila ninakuonyesha kwamba KITU sio lazima iwe Pesa...
 
Mwanafunzi wakimaliza chuo waulizwe unataka kujiajiri au kuajiriwa ukikibali kuajiriwa upewe cheti chako ukapambane mtaani ukitaka kujiajiri upewe mtaji milioni kumi kwa kuanzia kila anayetaka kujiajiri cheti chako kitatunzwa wewe ubaki na copy zakuombea kazi siku ukipata kazi unalipoti kwenye hyo taasisi ya serikali itakayo kuwa imepewa dhamana yakutoa mikopo hyo wanakupa cheti chako original na barua ya kwenda kwa mwajiri wako ili uanze kuludisha mkopo wao. Husipo pata kazi kabisa tutakubana uko kwenye kodi mtaani kupitia biashara yako. Kwa kifupi kila mwaka serikali walau itenge bilioni 200 ambazo kwa milioni 10 kwa kila muhitimu wa chuo kikuu ni watu elfu 20 kwahyo unakuwa uepunguza gape uku umeongeza wigo wa kukusanya kodi.
Hili wazo sikuliani nawe hata kdg
 
Sasa,wewe si umeshasema kujitolea?
Kwanza elewa,hakuna kulazimishwa. Ndio mwenye kazi anakufaidi, lakini badget yake wewe haumo.
Na hiki ni kipimo cha akili za waafrika.

Ni kwamba unakaa usikohitajika. Af eti kuongeza CV. Hii ni changamoto ya wengi wanaojiita wasomi. Wanaodhalau kazi. Aliejiajiri,baada ya miezi 6,wana tofauti kubwa. Kusoma kitu kimoja,kufaidi elimu,yahitaji akili na si ujuzi.
 
Kuna uzi niliuandika namna gani kijana anayemaliza chuo anapaswa afanye ili aweze kuishi vizuri mtaani, nashukuru wanajukwaa kwa mwitikio wenu mzuri ila kuna baadhi ya wanajukwaa wansema kujitolea kwenye makampuni sawa ni wazo zuri kwa ajili ya kutengeneza CV yako, tatizo linakuja kuna baadhi ya makampuni kijana anajitolea anafanya kazi kwa moyo na Bidii lakin hakuna hata hela ya maji.

Uko unatoka nyumbani kwenda kazini lakini kila kitu kipo juu yako nauli utajigharamia chakula na bando yaani kila kitu ni juu yako utafikiri unafanya kazi za kanisa kumbe unafanya kazi kwenye kampuni ya mtu na unamtengenezea mtu faida.

Unajikuta unatumia mda mwingi kwenye kujitolea afu hupati kitu ata kama unapata basi ni kidogo sana hata hakikidhi mahitaji yako ya mwezi na Bado umri unazidi kusogea lakini labda hta ungeuza juice ya miwa ungetengeneza mara 2 au 3 ya ela unayoipata hapo kwenye hiyo kampuni na pia bado vijana wa kujitolea wanapitia mengi sana maofisini kama kutumwa chai na mabosi na kuwaoshea Magari.

Basi mimi ombi langu kwa wenye maofisi wawajali vijana wanaojitolea kwenye ofisi zao na pia sisi vijana tufanye kazi kwa biidi tuoneshe ufanisi wetu wa kazi na pia sisi kama wasomi tunafundishwa namna ya kutatua matatizo katika jamii, hivyo tuangalie tunasaidiaje vijana wanaomaliza vyuo au tunarekebishaje mitaala ili angalau kijana ajifunze ujuzi mbali mbali atakapo kuwa chuo ambao ni mbali na Field yake anayoisomea ili tumtengeneze kijana Bora katika Jamii.

Kwa Mfano kijana anayemaliza form six tunampeleka JKT miezi mitatu kwa nini tusingempeleka moja kwa moja Veta akapate ujuzi ambao utamsaidia yeye katika maisha yake au kijan baada ya kumaliza form 4 angeenda moja kwa moja VETA kabla ya kwend Form V au chuo.

Tungetengeneza vijana wapambanaji katika Jamii. Hayo ni maoni yangu vipi kuhus ww hapo mwanajukwaa ebu tujadili pamoja.
🙏
 
Kuna uzi niliuandika namna gani kijana anayemaliza chuo anapaswa afanye ili aweze kuishi vizuri mtaani, nashukuru wanajukwaa kwa mwitikio wenu mzuri ila kuna baadhi ya wanajukwaa wansema kujitolea kwenye makampuni sawa ni wazo zuri kwa ajili ya kutengeneza CV yako, tatizo linakuja kuna baadhi ya makampuni kijana anajitolea anafanya kazi kwa moyo na Bidii lakin hakuna hata hela ya maji.

Uko unatoka nyumbani kwenda kazini lakini kila kitu kipo juu yako nauli utajigharamia chakula na bando yaani kila kitu ni juu yako utafikiri unafanya kazi za kanisa kumbe unafanya kazi kwenye kampuni ya mtu na unamtengenezea mtu faida.

Unajikuta unatumia mda mwingi kwenye kujitolea afu hupati kitu ata kama unapata basi ni kidogo sana hata hakikidhi mahitaji yako ya mwezi na Bado umri unazidi kusogea lakini labda hta ungeuza juice ya miwa ungetengeneza mara 2 au 3 ya ela unayoipata hapo kwenye hiyo kampuni na pia bado vijana wa kujitolea wanapitia mengi sana maofisini kama kutumwa chai na mabosi na kuwaoshea Magari.

Basi mimi ombi langu kwa wenye maofisi wawajali vijana wanaojitolea kwenye ofisi zao na pia sisi vijana tufanye kazi kwa biidi tuoneshe ufanisi wetu wa kazi na pia sisi kama wasomi tunafundishwa namna ya kutatua matatizo katika jamii, hivyo tuangalie tunasaidiaje vijana wanaomaliza vyuo au tunarekebishaje mitaala ili angalau kijana ajifunze ujuzi mbali mbali atakapo kuwa chuo ambao ni mbali na Field yake anayoisomea ili tumtengeneze kijana Bora katika Jamii.

Kwa Mfano kijana anayemaliza form six tunampeleka JKT miezi mitatu kwa nini tusingempeleka moja kwa moja Veta akapate ujuzi ambao utamsaidia yeye katika maisha yake au kijan baada ya kumaliza form 4 angeenda moja kwa moja VETA kabla ya kwend Form V au chuo.

Tungetengeneza vijana wapambanaji katika Jamii. Hayo ni maoni yangu vipi kuhus ww hapo mwanajukwaa ebu tujadili pamoja.
Ulibugi tu kwenda jkt. Hata miezi 3 haitoshi. Mwaka full. Pale,kila aliepita,ana uwezo wa kufikilia tofauti na elimu.
Na huko Veta,si kila mtu ataenda.
Kwanza,kulitakiwa kuwa na elimu(hasa hiyo jkt),watu waelewe kwamba bila ajira,maisha yanaendelea.
Pili,wanaweza ungana kwenye vikundi vya watu kadhaa, mfano wa kilimo, au shughuli nyingine. Umetoa mfano wa juice. Uje utazame wauzaji wa juisi ya miwa,Kariakoo(mikoa mingine na yenyewe ina fursa).
Tatu,serikali ingekuwa na uchungu na vijana,ingewaandaa mapema. Ila sasa,viongozi huandaa watoto wao kuja kuwarithi,na kufumbia macho watakaoongozwa.
 
Sasa,wewe si umeshasema kujitolea?
Kwanza elewa,hakuna kulazimishwa. Ndio mwenye kazi anakufaidi, lakini badget yake wewe haumo.
Na hiki ni kipimo cha akili za waafrika.

Ni kwamba unakaa usikohitajika. Af eti kuongeza CV. Hii ni changamoto ya wengi wanaojiita wasomi. Wanaodhalau kazi. Aliejiajiri,baada ya miezi 6,wana tofauti kubwa. Kusoma kitu kimoja,kufaidi elimu,yahitaji akili na si ujuzi.
Mimi nakuunga mkono hapo kwenye kukaa sehemu usiyohitajika ni Tatizo lakini vijana wengi wakiwa chuon wanasititizwa sana kijitolea hata mimi nakumbuka kipindi niko chuo kuna Dada mmoja muhitimu wa shahada ambayo mimi nilikuwa nasoma alikuja na akawa anaongea na sisi na atausisitiza kujitolea kisa yeye alijitolea na akala shavu na huku Madaktari wanamsapoti
Ss huon kuwa tatizo lipo kuanzia wakufunzi mpaka wanafunzi ambao wanaend kuwa wahitimu....
Kwahyo mimi naona Tuanze kubadili mindset ya kijana anayesoma Tumuweke wazi tumwambie uhalisia na Tumshike mkono Angalau aweze kujiajili.
 
Mwanafunzi wakimaliza chuo waulizwe unataka kujiajiri au kuajiriwa ukikibali kuajiriwa upewe cheti chako ukapambane mtaani ukitaka kujiajiri upewe mtaji milioni kumi kwa kuanzia kila anayetaka kujiajiri cheti chako kitatunzwa wewe ubaki na copy zakuombea kazi siku ukipata kazi unalipoti kwenye hyo taasisi ya serikali itakayo kuwa imepewa dhamana yakutoa mikopo hyo wanakupa cheti chako original na barua ya kwenda kwa mwajiri wako ili uanze kuludisha mkopo wao. Husipo pata kazi kabisa tutakubana uko kwenye kodi mtaani kupitia biashara yako. Kwa kifupi kila mwaka serikali walau itenge bilioni 200 ambazo kwa milioni 10 kwa kila muhitimu wa chuo kikuu ni watu elfu 20 kwahyo unakuwa uepunguza gape uku umeongeza wigo wa kukusanya kodi.
Acha ujinga wewe kwahiyo sisi Kodi zetu ziwape mitaji mijitu mizima iliyomaliza chuo ikatumbue na mademu zao
 
Mimi nakuunga mkono hapo kwenye kukaa sehemu usiyohitajika ni Tatizo lakini vijana wengi wakiwa chuon wanasititizwa sana kijitolea hata mimi nakumbuka kipindi niko chuo kuna Dada mmoja muhitimu wa shahada ambayo mimi nilikuwa nasoma alikuja na akawa anaongea na sisi na atausisitiza kujitolea kisa yeye alijitolea na akala shavu na huku Madaktari wanamsapoti
Ss huon kuwa tatizo lipo kuanzia wakufunzi mpaka wanafunzi ambao wanaend kuwa wahitimu....
Kwahyo mimi naona Tuanze kubadili mindset ya kijana anayesoma Tumuweke wazi tumwambie uhalisia na Tumshike mkono Angalau aweze kujiajili.
Hapo sawa,nakuunga mkono. Ebu fikilia; akijitolea sehemu tatu tofauti,kwa miaka mitatu. Amepoteza kiasi gani? Tatizo la vijana wa siku hizi,wanaamini,maisha yake kama amesoma,ni ofisini. Jiulize unaenda kujitolea gereji,kwa mtu ambae hajui hata kusoma. Lakini,si ana hela zake? Bora hapo gereji utajifunza chochote. Wengi hawataki kuumiza vichwa kusaka maisha,wataishia kisugua sori za viatu tu. Kama kuongeza ujuzi,kujitolea sawa. Ila kama ni kutafuta ajira,hapo wanakosea.
Unawajua jamaa wanazunguuka mitaani kuuza vyombo? Unawajua wauza vocha na laini za simu. Utakuta kabla ya kuanza kazi,wanafundishwa na kuambiwa eti hawajitumi. Lijitu limekaa ofisini,linalipwa mshahara,kazi linategemea lifanyiwe na vijana. Hilo hilo,linawambia wakomae miaka miwili mitatu watakuwa kama yeye. Kijana huyo ambaye hata maji ya kunywa tu hawezi kupata,atapata maendeleo gani? Wa vijijini,fursa zipo. Wa mjini,hawawezi kwenda vijijini au hawapajui hata. Badhi ya viongozi wenye jukumu hilo,hawana habari,wao kubanjuana tu ndo kazi. Nchi nyingi zilizoendelea,wamehusika vijana,wanapata chochote na wanajituma kuzalisha.
 
Muda ni kitu cha thamani sana, hata hivyo lazima kama kijana ujue unataka Nini, malengo yako ni yapi na je unataka kufika wapi kwenye maisha yako, usiende ende au usifanye kitu ambacho hakikusaidia kufika kwenye malengo yako....Kama hujui unachotaka au unachopenda basi jaribu vitu vingi may be unaweza bahatika kukutana na kimojawapo kitakachokutoa (very tricky hii njia, unaweza zeeka Kwa kutafuta kusudi lako)
 
Back
Top Bottom