Tuzungumze matukio yanayotrend kwa lugha ya kibiblia

Socw

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2016
Posts
1,329
Reaction score
2,644
Na yule mke wa farisayo wa mawinguni akaondoka na kuacha fahari za mumewe na kwenda zake kuolewa na msamaria masikini.
Wakazi wa galilaya wakastaajabu jambo hilo huku wakijiuliza ' limekuwaje jambo hilo? Mwanamke wa kiyahudi kwenda kuolewa na msamaria masikini. Je, haikufaa yeye kutunza heshima ya mume wake?'
Ndipo mwanamke yule akapita katikati yao na kusema kwa sauti kuu "niacheni na mission in town wangu".
Matendo ya mission in town 4:2-3
 
Biblia gani hiyo ndugu? Acha utani.
 
Hili jukwaaa la .......jama anamzungumzia Zama na mzee wa fursa ruge na mission town na mawingu ni clou.. Hamjaelewa nn!?
 
Ndipo pale mkuu alitamka na kunena kwa sauti.... amin amin nawaambieni sijaja hapa kutafuta mchumba.
 
Na yule kijana mfukunyua habari wa mawinguni akaulizwa je wewe si hodari wa kunyapia?mbona hapa unashindwa?akapata kigugumizi na kuanguka chini akisema bosi bosi!unirehemu.
 
Bila shaka utakua umetendwa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…