We unasema sio wa maana wakati kila mwaka ndo anatajwa kuwa beki bora wa Dunia![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwa experience zangu Ramos sio mchezaji wa maana kabisa. Ni mara ngapi huwa anamchezeaga Messi rafu za makusudi kabisa.
Kwahiyo elewa uchezaji wa Ramos sio wa kistaarabu.
Ni ms**** Tu huyu. Anataka kuharibu na kuumiza wachezaji.
Mane na yy hajui technique za rafu, rafu gani ile...kufika tu na kumsukuma tena mbele ya refa
... We will never walk aloneNatamani leo beki mmoja wa Spurs amramos Mane
Baada ya dk 90, tutakuwa tunaimba "Asanteni kwa kuja"... We will never walk alone View attachment 1113917
Tukifungwa niite miguu ya temboBaada ya dk 90, tutakuwa tunaimba "Asanteni kwa kuja"
Haya tusubirie dk 90Tukifungwa niite miguu ya tembo
Aahaha mi mwanitesa united mkuuHaya tusubirie dk 90
HahaahAahaha mi mwanitesa united mkuu
Kuumia kwa salah kumegeuka sababu kuu ya wao kushindwa, ila hawakuwa katika nafasi ya kufanya hivyo hata kama angekuwepo.