WatesiWETU
Senior Member
- Jan 2, 2022
- 106
- 248
Kuwa sehemu ya kuvutia wawekezaji katika wilaya au kata yako:
Wale wa mikoani wasaidieni hawa wa dar wajue fursa zilizopo mkoani kwako za kiasi cha mtaj wa kuanzia laki tano(500,000/=) mpaka milion moja(1,000,000/=)
Usiwe mchoyo wa mawazo naona vijana wengi wamemaliza vyuo ila wana banana hapa dar bila wazo na wengine wana laptop na simu za malaki ambapo wakiuza vyote hawakosi mtaji wa laki7 mpaka milioni moja .
Tatizo hawajui wafanyie nini wakisha ipata hiyo hela. Lengo la uzi huu nikutaka watu wa mikoani muwape mawazo ilinwaje kuzungusha mitaji yao uko.
Kumbuka , usipo kuwa mchoyo ukatoa wazo la biashara unayo ona inafanyika eneo lako huyu mtu akija uko atazidisha mzunguko wa hela na huenda mzunguko huo ukachangamsha mkoa wako au wiliya yako na hata mzunguko huo unaweza kukufikia hata wewe nakuchangamsha mapato yako binafsi.
Karibuni kwa shauri:
Wale wa mikoani wasaidieni hawa wa dar wajue fursa zilizopo mkoani kwako za kiasi cha mtaj wa kuanzia laki tano(500,000/=) mpaka milion moja(1,000,000/=)
Usiwe mchoyo wa mawazo naona vijana wengi wamemaliza vyuo ila wana banana hapa dar bila wazo na wengine wana laptop na simu za malaki ambapo wakiuza vyote hawakosi mtaji wa laki7 mpaka milioni moja .
Tatizo hawajui wafanyie nini wakisha ipata hiyo hela. Lengo la uzi huu nikutaka watu wa mikoani muwape mawazo ilinwaje kuzungusha mitaji yao uko.
Kumbuka , usipo kuwa mchoyo ukatoa wazo la biashara unayo ona inafanyika eneo lako huyu mtu akija uko atazidisha mzunguko wa hela na huenda mzunguko huo ukachangamsha mkoa wako au wiliya yako na hata mzunguko huo unaweza kukufikia hata wewe nakuchangamsha mapato yako binafsi.
Karibuni kwa shauri: