Tuzungumzie matatizo ya figo


bila marehemu ruge tusinge mjua figo
 
Dagaa zina michanga na vijimawe vidogo vidogo solution ni kuzisafisha vizuri kabla ya kupika ili kuhakikisha hazina mchanga au vijimawe.

Pia vyakula kama siagi, samli na maziwa vinadaiwa kuongeza uwezekano wa kuwa na kidney stones.

Kunywa maji mengi ni muhimu sana ili kuepusha hili tatizo la kidney stones.

dagaa nazo hazifai au zinasababishaje magonjwa ya figo.
hilo nimesikia leo maana ukinikataza kula dagaa ni sawa na kumwambia mwanasiasa asifanye mkutano wa hadhara.
 
Pamoja na hayo mawe ya kwenye dagaa ikitokea umeyala yatakaa kwenye appendicitis hayaingii kwenye mzungu wa damu, Kidney stones zinasababishwa na metabolic waste zinazozunguka kwenye damu ambazo hutoka kama mkojo kwa msaada wa maji.
 
Ugonjwa wa figo kama kisukari na cancer kwa asilimia kubwa yanakua triggered na lifestyle and eating habits.
Tule na tunywe nini na tusile na tusinywe nini?
 
Tule na tunywe nini na tusile na tusinywe nini?
Mwili unajiregulate wenyewe lakini ukishafika 50+ inabidi uwe muangalifu. Wengi katika umri huu hasa kama uliutendea rough ujana
baadhi ya vitu vinahitaji MOT
.

punguza chumvi
Nyama nyejundu
Pombe

Kuongeza mboga matunda na maji.

Medical checkups once a year.
 
dagaa nazo hazifai au zinasababishaje magonjwa ya figo.
hilo nimesikia leo maana ukinikataza kula dagaa ni sawa na kumwambia mwanasiasa asifanye mkutano wa hadhara.
Dagaa wana kiasi kikubwa cha Calcium na Vitamin D ambavyo vimekuwa visababishi vya kidney stones endapo ulaji wake utazidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine hupasuliwa kutoa hayo mawe kwenye mfumo wa njia ya mkojo.
 
Mkuu niko mkoa wenye barid ila napenda sana chumvi yani mimi chakula lazima niongeze chumvi hata kabla sijaonja na chumvi ninayoweka mimi watu wengi wakionja huwa hawawez kula, nmeshazoea ila maji nakunywa wastani wa 2lt per day asubui had jion
Hatari sana mkuu, kifupi jua tu ile chumvi inayoingia kinywani kabla haijayeyuka haiyeyuki tena ndio maana husababisha mawe kwa figo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa hawa dagaa ni wap
kauzu yaani wale wa kukaushwa
au ata hawa dagaa mchele
watu wa mikoa ya pwani hasa dar es salaam tunawatumia sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
dagaa nazo hazifai au zinasababishaje magonjwa ya figo.
hilo nimesikia leo maana ukinikataza kula dagaa ni sawa na kumwambia mwanasiasa asifanye mkutano wa hadhara.
Mi nahisi kamaanisha zile dagaa ambazo huwa na mchanga pamoja na mawe mara nyingi ili mtu uzipike inabidi utoe vichwa na uoshe na maji moto
 
Vipi matumizi yaliyokithiri ya madawa, hayachangii matatizo ya figo? Kuna wale watumiaji wa madawa kama ya pressure (assomex, nk), wapo watumiaji wa ARV, hawa huwa lazima kila siku wameze kidonge kimoja.

Wapo kwenye hatari kiasi gani kupata/kuepuka matatizo ya kufeli figo? Pia ukiwa na matatizo ya ini ni rahisi sana kupata matatizo ya figo. INI, MOYO na FIGO ni viungo vinavyofanya kazi kwa "kupendana", kimoja kikishindwa basi vingine vinapata shida sana ku-cope, hence matatizo yanaongezeka.
 
Tunaomba mtaalam wa figo aje atoe elimu hapa, umu tupo wengi pamoja na madakitari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…