Tuzungumzie matatizo ya figo

Let me start doing this,huwa nakunywa maji mengi sana ninapoamka asubuhi,ila hii glass ya usiku huwa ninaikwepa kwa kuogopa kuamka usiku..
mkuu nayo maji ukinywa mengi bila utaratibu tatizo pia...wanavyosema kitaalam figo inauwezo wa kufanyia kazi lita moja kwa saa, na pia unywaji mbovu wa maji unaflash virutubisho muhim kwenye mwili...issue za afya ni very complicated... unawez kuwa chizi ukichukulia serious sana...hahahaaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu tudadavulie kilichosababisha figo za Ruge kufeli na kwa nini zimuue licha ya kutibiwa hosptal kubwakubwa ndani na nje ya nchi.. ina maana huu ugonjwa hautibiki? Au kuna mengine nyuma ya paziaaa?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu behind curtains, ila ugonjwa ni siri ya mgonjwa na daktari wake kumbuka.
 
Precisely, excess water isn't good either. Unakuta mtu anakunywa 5l kwa siku, au 2l ndani ya saa moja, hajui ana flash minerals muhimu bila kujua, lakini pia figo zina limits katika kufanya kazi.
 
Precisely, excess water isn't good either. Unakuta mtu anakunywa 5l kwa siku, au 2l ndani ya saa moja, hajui ana flash minerals muhimu bila kujua, lakini pia figo zina limits katika kufanya kazi.
Ukiwa unafikia hali ya mkojo mweupee,means sumu chache mwilini kwahiyo figo inapumua ,haitumii nguvu nyingi sana,na yenyewe unakuwa kama unaisafisha,wanaosema unaflash madini ,sio kila madini yanayoingia mwilini lazima yatumike yote,maji hayajawahi kuwa na sifa mbaya mwilini,ni tiba na kinga ya uhakika sana.
 
Ukiweza achana nayo. Mimi niliacha kutumia kitambo sasa ila siagi na maziwa kama KAWA na maji nakunywa kwa wingi tu. Nilisoma mahali pia kwamba ukwaju pia unasaidia sana kusafisha kidney.
Asante mkuu BAK, Niliacha kutumia mafuta ya Alizeti kuogopa presha nikajiunga kutumia Samli hii nayo ina madhara 🙆‍♀️🙆‍♀️Nataka kujalibu mafuta ya Zaituni
 
Reactions: BAK
Kiukweli nakula chumvi mpaka najiogopa
 
Aisee
Pamoja na hayo mawe ya kwenye dagaa ikitokea umeyala yatakaa kwenye appendicitis hayaingii kwenye mzungu wa damu, Kidney stones zinasababishwa na metabolic waste zinazozunguka kwenye damu ambazo hutoka kama mkojo kwa msaada wa maji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…