Tuzungumzie mlipuko wa kithembe unaoikumba nchi kwa sasa

Tuzungumzie mlipuko wa kithembe unaoikumba nchi kwa sasa

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Nilikuwa namsikiliza Ahmed Ally wa Simba akihojiwa clouds FM. Jamaa ana kithembe kikali sana. Anasema Thimba live bila chenga.

Hapo akaja mtu anatangaza Ndondo Cup. Anasema watacheza "Kinethi" na wanadhaminiwa na "Madhiwa ya athathi."

Sijakaa sawa akatokea Mbwiga, anasema, "Au thio."

Juzi kati nimemsikia Saraphina wa nipo titi. Anasema "Tho....tho..."

Sasa kithembe ni tatizo. Kinatokana na nini? Hivi kina tiba yake? Makocha wa usemi wanaweza kumrekebisha mtu hili?

Ni sahihi kimaadili kumnyima mtu kazi, labda ya utangazaji, usemaji au ualimu kwasababu ya kithembe?
 
20220816_220217.jpg
inachosha nilale sasa
 
Kuna fala anaitwa mau fundi huwa nacheka sana na ufala wake wa kithembe
 
Dah! Nimepekuwa coments zote kwa hamu kuona kama kuna tiba ya hii kitu lkn watu mnachenga!! Mwanangu 9yrs yumo yan ni shida. Wataalam tusaidieni pls, chanzo ni nini na ni nini solution?
 
Dah! Nimepekuwa coments zote kwa hamu kuona kama kuna tiba ya hii kitu lkn watu mnachenga!! Mwanangu 9yrs yumo yan ni shida. Wataalam tusaidieni pls, chanzo ni nini na ni nini solution?
Hii ishu inaweza muharibia sana mtu muonekano. Ngoja tusubiri wataalamu
 
Hatujamalidhaaa
Hatujamalidhaaa

Mletee mdhunguu
Mletee mdhunguu
 
Nafikiri huo ni ulemavu kama ulemavu mwingine..hakuna mtu anafanya kusudi labda Mau fundi!
 
Back
Top Bottom