Tuzungumzie ndege ya Serikali ya Marekani iliyotelekezwa Angola

Tuzungumzie ndege ya Serikali ya Marekani iliyotelekezwa Angola

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
Mwaka 2003 ndege ya shirika la serikali ya marekani (AMERICAN AIRLINES) boeing 727 ilikua imekwama (au tuseme imetelekezwa) nchini Angola (Luanda international airport) kwa kipindi cha miaka 4 na miez 7 ikisubiri matengenezo makubwa.

Katika Hali ya kushangaza,
wanaume wawili (Ben padila (mmarekani) na John Mutantu(Mcongomani) wote wakiwa Ni mafundi mechanics pale airport. Walionekana kwenye CCTV camera wakiingia kwenye ndege hiyo na kuiwasha.

Bila kuomba ruhusa wala kutoa taarifa yoyote kwenye traffic control, waliitoa ndege iyo kwenye tarmac na kuitax kwenye runway, kisha mashuhuda waliona ndege iyo inapaa juu moja kwa Moja wasijue inaelekea wapi.

Traffic controller aliekua zamu alijaribu kuiangalia kwenye rada hakufanikiwa kuiona, akatoa taarifa kwenye mamlaka za Angola. Nao wakajaribu kuitafuta, waliposhindwa wakazitaarifu mamlaka za marekani.

Marekani nao waliposhindwa, wakashirikisha mashirika mbalimbali ya kimataifa kuitafuta ndege iyo lakini hawakufanikiwa kuipata.

Mpaka leo Hii, Mustakabali mzima wa BEN PADILA, JOHN MUTANTU pamoja na Ndege iyo waliyoiba haujawai kujulikana.

Hamna anaejua hao jamaa wako hai au walishakufa, ndege waliyoiba waliiuza, waliikata spea, ilipata ajali wote na wakafa au vipi? Kiukweli KILA MTU HAJUI

Nawasilisha😔🙏

IMG_20240511_125810.jpg
 
Mwaka 2003 ndege ya shirika la serikali ya marekani (AMERICAN AIRLINES) boeing 727 ilikua imekwama (au tuseme imetelekezwa) nchini Angola (Luanda international airport) kwa kipindi cha miaka 4 na miez 7 ikisubiri matengenezo makubwa.

Katika Hali ya kushangaza,
wanaume wawili (Ben padila (mmarekani) na John Mutantu(Mcongomani) wote wakiwa Ni mafundi mechanics pale airport. Walionekana kwenye CCTV camera wakiingia kwenye ndege hiyo na kuiwasha.

Bila kuomba ruhusa wala kutoa taarifa yoyote kwenye traffic control, waliitoa ndege iyo kwenye tarmac na kuitax kwenye runway, kisha mashuhuda waliona ndege iyo inapaa juu moja kwa Moja wasijue inaelekea wapi.

Traffic controller aliekua zamu alijaribu kuiangalia kwenye rada hakufanikiwa kuiona, akatoa taarifa kwenye mamlaka za Angola. Nao wakajaribu kuitafuta, waliposhindwa wakazitaarifu mamlaka za marekani.

Marekani nao waliposhindwa, wakashirikisha mashirika mbalimbali ya kimataifa kuitafuta ndege iyo lakini hawakufanikiwa kuipata.

Mpaka leo Hii, Mustakabali mzima wa BEN PADILA, JOHN MUTANTU pamoja na Ndege iyo waliyoiba haujawai kujulikana.

Hamna anaejua hao jamaa wako hai au walishakufa, ndege waliyoiba waliiuza, waliikata spea, ilipata ajali wote na wakafa au vipi? Kiukweli KILA MTU HAJUI

Nawasilisha😔🙏
Dunia hii ina siri nyingi zisizo na majibu.
 
Mwaka 2003 ndege ya shirika la serikali ya marekani (AMERICAN AIRLINES) boeing 727 ilikua imekwama (au tuseme imetelekezwa) nchini Angola (Luanda international airport) kwa kipindi cha miaka 4 na miez 7 ikisubiri matengenezo makubwa.

Katika Hali ya kushangaza,
wanaume wawili (Ben padila (mmarekani) na John Mutantu(Mcongomani) wote wakiwa Ni mafundi mechanics pale airport. Walionekana kwenye CCTV camera wakiingia kwenye ndege hiyo na kuiwasha.

Bila kuomba ruhusa wala kutoa taarifa yoyote kwenye traffic control, waliitoa ndege iyo kwenye tarmac na kuitax kwenye runway, kisha mashuhuda waliona ndege iyo inapaa juu moja kwa Moja wasijue inaelekea wapi.

Traffic controller aliekua zamu alijaribu kuiangalia kwenye rada hakufanikiwa kuiona, akatoa taarifa kwenye mamlaka za Angola. Nao wakajaribu kuitafuta, waliposhindwa wakazitaarifu mamlaka za marekani.

Marekani nao waliposhindwa, wakashirikisha mashirika mbalimbali ya kimataifa kuitafuta ndege iyo lakini hawakufanikiwa kuipata.

Mpaka leo Hii, Mustakabali mzima wa BEN PADILA, JOHN MUTANTU pamoja na Ndege iyo waliyoiba haujawai kujulikana.

Hamna anaejua hao jamaa wako hai au walishakufa, ndege waliyoiba waliiuza, waliikata spea, ilipata ajali wote na wakafa au vipi? Kiukweli KILA MTU HAJUI

Nawasilisha😔🙏
Heading inaelezea kitu tofauti
 
The concept of multiverse inaweza kuwa applied hapa

Yawezekana hawa jamaa walikosea na kuingia dimension nyingine ( ulimwengu mwingine tofauti na dunia)
 
Mwaka 2003 ndege ya shirika la serikali ya marekani (AMERICAN AIRLINES) boeing 727 ilikua imekwama (au tuseme imetelekezwa) nchini Angola (Luanda international airport) kwa kipindi cha miaka 4 na miez 7 ikisubiri matengenezo makubwa.

Katika Hali ya kushangaza,
wanaume wawili (Ben padila (mmarekani) na John Mutantu(Mcongomani) wote wakiwa Ni mafundi mechanics pale airport. Walionekana kwenye CCTV camera wakiingia kwenye ndege hiyo na kuiwasha.

Bila kuomba ruhusa wala kutoa taarifa yoyote kwenye traffic control, waliitoa ndege iyo kwenye tarmac na kuitax kwenye runway, kisha mashuhuda waliona ndege iyo inapaa juu moja kwa Moja wasijue inaelekea wapi.

Traffic controller aliekua zamu alijaribu kuiangalia kwenye rada hakufanikiwa kuiona, akatoa taarifa kwenye mamlaka za Angola. Nao wakajaribu kuitafuta, waliposhindwa wakazitaarifu mamlaka za marekani.

Marekani nao waliposhindwa, wakashirikisha mashirika mbalimbali ya kimataifa kuitafuta ndege iyo lakini hawakufanikiwa kuipata.

Mpaka leo Hii, Mustakabali mzima wa BEN PADILA, JOHN MUTANTU pamoja na Ndege iyo waliyoiba haujawai kujulikana.

Hamna anaejua hao jamaa wako hai au walishakufa, ndege waliyoiba waliiuza, waliikata spea, ilipata ajali wote na wakafa au vipi? Kiukweli KILA MTU HAJUI

Nawasilisha😔🙏

View attachment 2987819
sahii wapo Marcy huko wanavuna walichokipanda.
 
Kwa
The concept of multiverse inaweza kuwa applied hapa

Yawezekana hawa jamaa walikosea na kuingia dimension nyingine ( ulimwengu mwingine tofauti na dunia)
Kwamba wameenda sayar ya Pluto?
 
Mwaka 2003 ndege ya shirika la serikali ya marekani (AMERICAN AIRLINES) boeing 727 ilikua imekwama (au tuseme imetelekezwa) nchini Angola (Luanda international airport) kwa kipindi cha miaka 4 na miez 7 ikisubiri matengenezo makubwa.

Katika Hali ya kushangaza,
wanaume wawili (Ben padila (mmarekani) na John Mutantu(Mcongomani) wote wakiwa Ni mafundi mechanics pale airport. Walionekana kwenye CCTV camera wakiingia kwenye ndege hiyo na kuiwasha.

Bila kuomba ruhusa wala kutoa taarifa yoyote kwenye traffic control, waliitoa ndege iyo kwenye tarmac na kuitax kwenye runway, kisha mashuhuda waliona ndege iyo inapaa juu moja kwa Moja wasijue inaelekea wapi.

Traffic controller aliekua zamu alijaribu kuiangalia kwenye rada hakufanikiwa kuiona, akatoa taarifa kwenye mamlaka za Angola. Nao wakajaribu kuitafuta, waliposhindwa wakazitaarifu mamlaka za marekani.

Marekani nao waliposhindwa, wakashirikisha mashirika mbalimbali ya kimataifa kuitafuta ndege iyo lakini hawakufanikiwa kuipata.

Mpaka leo Hii, Mustakabali mzima wa BEN PADILA, JOHN MUTANTU pamoja na Ndege iyo waliyoiba haujawai kujulikana.

Hamna anaejua hao jamaa wako hai au walishakufa, ndege waliyoiba waliiuza, waliikata spea, ilipata ajali wote na wakafa au vipi? Kiukweli KILA MTU HAJUI

Nawasilisha😔🙏

View attachment 2987819
Kabisa
Na Twiga wetu yuko Malaysia...........
 
Back
Top Bottom