Profesa wa Maliasili
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 632
- 1,910
Kwa mara ya kwanza baada ya kutopiga ngoma za Wcb kwa mda mrefu Tv E inayosimamiwa na majizo saa 11 jioni ya leo imeonesha hii video ya konde boy, hii ndio kumaanisha wameyamaliza bifu zao au Dj wa zamu kajisahau?.