TV4Sale Tv inch 65 Hisense Used inauzwa

TV4Sale Tv inch 65 Hisense Used inauzwa

Issuna

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
3,203
Reaction score
7,628
Bei ya Tv 1.2m (Fixed Price)

Warranty 3yrs

Used : Imetumika 1 month mpaka sasa.

Milioni 1 na Laki Mbili (Bei haipungui)

ipo Dar es Salaam - Kibanda cha Mkaa.

images (2).jpeg
 
Kuna kipindi nilikwenda show room moja kununua gari. Mwenye show room alikua hayupo wapo chawa. Nikauliza Bei ya gari, chawa kantajia Bei, nikamuuliza, je ikipoa? Kanijibu haishuki hata Mia. Nikamuambia chukua namba yangu Kati ya Leo na kesho Bei ikipoa nipigie hela iko mufuko ya shati. Chawa kakomaa, nikaenda zangu kijitonyama nikakuta gari Ile Ile Bei iko chini kwa milioni mbili halafu bado nikapozwa. Nikalipa fasta nikasubiri kesho yake nije kuchukua gari baada ya usajili.
Si ndio chawa kaanza kunitafuta na kuanza kushusha Bei. Nikamwambia I gave you 24 hrs. Time is up.
Nikawa napita Ile mitaa gari nikawa naiona haijapata mteja Hadi ikaanza kutu.
 
Kuna kipindi nilikwenda show room moja kununua gari. Mwenye show room alikua hayupo wapo chawa. Nikauliza Bei ya gari, chawa kantajia Bei, nikamuuliza, je ikipoa? Kanijibu haishuki hata Mia. Nikamuambia chukua namba yangu Kati ya Leo na kesho Bei ikipoa nipigie hela iko mufuko ya shati. Chawa kakomaa, nikaenda zangu kijitonyama nikakuta gari Ile Ile Bei iko chini kwa milioni mbili halafu bado nikapozwa. Nikalipa fasta nikasubiri kesho yake nije kuchukua gari baada ya usajili.
Si ndio chawa kaanza kunitafuta na kuanza kushusha Bei. Nikamwambia I gave you 24 hrs. Time is up.
Nikawa napita Ile mitaa gari nikawa naiona haijapata mteja Hadi ikaanza kutu.
Mawinga hawa, ndio wanaharibu biashara za watu
 
Back
Top Bottom