SOLD: Tv nchi 40, kitanda na sofa vinauzwa (Mwanza)

SOLD: Tv nchi 40, kitanda na sofa vinauzwa (Mwanza)

My story

Member
Joined
Jun 9, 2019
Posts
23
Reaction score
3
Apdate vyote vimeuzwa.

Kwa anayehitaji chumba na sebule
Nyumba ya kisasa yenye jiko, chumba self, luku na maji unajitegemea.
Kodi laki moja tu kwa mwezi
Nimebakiza miezi mitatu na siku kadhaa so utanirudishia miezi mitatu kamili
Karibuni sana
Eneo ilipo ni Nyegezi karibu na standi mpya
 

Attachments

  • 20200619_164321.jpeg
    20200619_164321.jpeg
    29.1 KB · Views: 6
  • 20200619_164425.jpeg
    20200619_164425.jpeg
    43.7 KB · Views: 5
  • 20200619_164448.jpeg
    20200619_164448.jpeg
    29.5 KB · Views: 6
  • 20200619_161453.jpeg
    20200619_161453.jpeg
    41.4 KB · Views: 7
  • 20200619_161610.jpeg
    20200619_161610.jpeg
    46.6 KB · Views: 6
  • IMG-20200520-WA0002~2.jpeg
    IMG-20200520-WA0002~2.jpeg
    84.8 KB · Views: 6
Endelea kutumia tu, tv zanzibar inchi 45 400000, startimes 78000, fridge guard 10000.
 
Mmh ukifanya cost analysis inawezekana ni ghali ukiweka na usafiri na muda wa matumizi nk
 
Zanzibar hakuna huwezi kupata Tv nchi 40 series 5 kwa 400k
Zanzibar kuna tv za mtumba ambazo nyingi ni series 3.
Kwa zanzibar dukani inauzwa 750k
Endelea kutumia tu, tv zanzibar inchi 45 400000, startimes 78000, fridge guard 10000....
 
Tv na kitanda bado vipo karibuni kwa wakazi wa mwaza
 
Back
Top Bottom