Wanabodi,
Kwa vile hili ndio bandiko langu la kwanza kulianzisha kwa mwaka huu humu jf, naomba nianze kwa kuwatakia Heri ya Mwaka Mpya.
Kwa wenye access na Star TV, Mkurugenzi wa Jamii Forums, Mkuu Maxence Melo, atakuwa Live on Star TV, kuanzia saa 2:00 asubuhi hii kwenye kipindi Jicho Letu Ndani ya Habari.
Pleaze watch.
Star TV pia iko live online kwa ku download