I AM NO ONE
JF-Expert Member
- Aug 7, 2020
- 389
- 576
Habari wapenzi wa burudani nimeona nilete kwenu hii issue nimetizama movies nyingi kiasi zikiwemo za hbo huko mambo ni mazito kidogo yaani ukiwa unacheck movies zake inabidi uwe peke yako au uwe na demu wako maana sio kukaa na watoto maana unaeza aibika.
Huko ni mchezo wa wanaume kwa wanaume sasa hii inachochea ushoga sana katika jamii zetu hasa vijana chipukizi miaka 16-25 hapo ndo hatari inakuwa kubwa kwaio ushauri wangu tuwe makini na tv shows hizi tunazo ziangalia tusije kuacha flash za movies au external yako ina movies za namna ukaaacha home hukiu nyuma dogo anakuja anachek kumbea atakuja kuona mbona hta broo anaangaliaga hizi kwaio mwisho wa siku inaweza mfudisha ujinga baadhi ya hizo tv show ntaweka hapa kadhaa kama mfano
1) Game of thrones sasa hii ndo balaa watu wanaume wanakulana hatari wengi wanaijua hii:
2) Watchmen
3) Lovecratf Country
4) Raised by wolves
Na nyingine nyingi tu maombi yangu kwenu kabla hujapeleka movies zozote nyumbani kwanza angalia wewe ndo uipekela nyumbani na wengine wafurahi.
Huko ni mchezo wa wanaume kwa wanaume sasa hii inachochea ushoga sana katika jamii zetu hasa vijana chipukizi miaka 16-25 hapo ndo hatari inakuwa kubwa kwaio ushauri wangu tuwe makini na tv shows hizi tunazo ziangalia tusije kuacha flash za movies au external yako ina movies za namna ukaaacha home hukiu nyuma dogo anakuja anachek kumbea atakuja kuona mbona hta broo anaangaliaga hizi kwaio mwisho wa siku inaweza mfudisha ujinga baadhi ya hizo tv show ntaweka hapa kadhaa kama mfano
1) Game of thrones sasa hii ndo balaa watu wanaume wanakulana hatari wengi wanaijua hii:
2) Watchmen
3) Lovecratf Country
4) Raised by wolves
Na nyingine nyingi tu maombi yangu kwenu kabla hujapeleka movies zozote nyumbani kwanza angalia wewe ndo uipekela nyumbani na wengine wafurahi.