Tv sibuka inafanya wizi mkubwa na wa kimataifa kwa kampuni ya sony-tcra mko nalala?

Tv sibuka inafanya wizi mkubwa na wa kimataifa kwa kampuni ya sony-tcra mko nalala?

C.T.U

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2011
Posts
5,074
Reaction score
3,743
Tv sibuka imekuwa kwa muda mrefu sasa ikiwa inaonyesha movies mida ya usiku hasa saa tano tano
aina ya movies zinazoonyeshwa ni za holywood mara nyingi
fine...
Ila tatizo nililoliona na kushtuka mpaka niamue kuandika thread hii nikiuliza ni aina ya movies wanazoonyesha

tv sibuka imekuwa ikionyesha movies zisizokuwa na mwaka kama sheria ya uonyeshaji wa movies nyingi za holywood zinavyosema

hii inaitwa pirates
mfano sasa hivi wanaonyesha skyfall iliyotoka november

mimi hii naiita wizi kwa kampuni ya sony

juzi tu walionyesha the amazing spirderman ambayo ilitoka kwenye 2012 kati kati
movies hizi kamwe huwezi kukuta tv kama hbo, wb, na star movies ambazo ni mabingwa wa kuonyesha movies wakaonyesha movies

wb tv inaonyesha movies nyingi zilizotengenezwa na kampuni ya wb lakini kamwe kwenye tv yao hawaonyeshi movies ambayo haijazidi mwaka tokea iingie sokoni

swali langu la tcra ni kuwa ina maana hizi sheria za kimataifa hawazijui?

Au wanajua tu wanadili na mambo ya digitali tu vitu kama hivi vya pirates vinavyofanywa na tv ambayo iko chini ya mikono yake haiioni?

Je tv sibuka wanajua wanachokifanya?

Sawa najua wanavutia wateja kwa kuweka movies mpya lakini this is too much ...

Wakiamua ku wa sue wana hela ya kuwapa sony ambao ndio watengenezaji wa "skyfall"
 
acha vijana wafaidi
digital copyright bado hatuna sheria Tz inayolinda hivi vitu
suala la e-commerce kwa tz bado
kwa Europe wana E commerce Directive kwa afrika hatuna sembuse TZ?
endelea kufaidi hata hao unawatetea ni wezi wakubwa tu.
we have a long way to go before tuweze kuwa na regulation kama za wenzetu
so enjoy and let others enjoy.
 
acha vijana wafaidi
digital copyright bado hatuna sheria Tz inayolinda hivi vitu
suala la e-commerce kwa tz bado
kwa Europe wana E commerce Directive kwa afrika hatuna sembuse TZ?
endelea kufaidi hata hao unawatetea ni wezi wakubwa tu.
we have a long way to go before tuweze kuwa na regulation kama za wenzetu
so enjoy and let others enjoy.

mkuu hapa naongelea haki ya sony bmg ambapo wakiaamua kuwa sue hawa TV SIBUKA kwa kosa la pirates
kwani wao masuala ya digital copyright yanawalinda na wenzetu wako very serious kwa hili
we can enjoy ila baadae hawa jamaa watalia na kusaga meno
 
sasa si hadi wawasue? after all since they are not aware and kwa poor countries automatically it is implied hawataweza kununua haki ya kuonyesha hizo movie huwa wanaacha tu
na pia wanajua hatuko binded kwa sheria zao za ambazo hatujaridhia bado.
they know the existence of such actions.#
hata europe watu wanafanya illegal downloading of their movies wanajua
mbaya ni kuwezesha online illegally kwa watu kuona movie zao.
hata movie za kizamani tv hawaruhusiwi kuonyesha hadi wapate kibali chao.
tujiulize huwa tv zetu wanaomba vibali vyao? na lazima walipie.
I dont think TCRA should act herer cause the liability iko kwa content provider na sio national regulator.

mkuu hapa naongelea haki ya sony bmg ambapo wakiaamua kuwa sue hawa TV SIBUKA kwa kosa la pirates
kwani wao masuala ya digital copyright yanawalinda na wenzetu wako very serious kwa hili
we can enjoy ila baadae hawa jamaa watalia na kusaga meno
 
Back
Top Bottom