only83 JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 5,343 Reaction score 2,527 Mar 30, 2011 #1 Naomba wanaJF mnisaidie hii TV na Radio inayoitwa SIBUKA ni ya nani? na Je ipo Tanzania au ni ya nje ya Tanzania.........
Naomba wanaJF mnisaidie hii TV na Radio inayoitwa SIBUKA ni ya nani? na Je ipo Tanzania au ni ya nje ya Tanzania.........
Pascal Mayalla Platinum Member Joined Sep 22, 2008 Posts 53,857 Reaction score 121,995 Mar 30, 2011 #2 Ni ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Dr. Nangale, ipo Shinyanga, na sasa imehamishia makao Dar.
Ni ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Dr. Nangale, ipo Shinyanga, na sasa imehamishia makao Dar.
Donnie Charlie JF-Expert Member Joined Sep 16, 2009 Posts 16,908 Reaction score 19,123 Apr 10, 2011 #3 Naona hawa jamaa sasa wanaonyesha premier league live
golwebo_mkuu JF-Expert Member Joined Mar 31, 2011 Posts 2,270 Reaction score 693 Apr 10, 2011 #4 wanapiga movies balaa, wameanza na kuonesha champions league..wenye ving'amuzi tunafaidi.
Yericko Nyerere JF-Expert Member Joined Dec 22, 2010 Posts 17,005 Reaction score 20,425 Apr 10, 2011 #5 Nimevutiwa sana hasa zile hotuba za father of national hakika na jana wameonyesha bunda siliga live