TV yangu ya gari nikiweka video ina play halafu inaniletea message kama hii: THE SAKE OF SAFETY, DRIVING BAN VIDEO

TV yangu ya gari nikiweka video ina play halafu inaniletea message kama hii: THE SAKE OF SAFETY, DRIVING BAN VIDEO

swamila

Senior Member
Joined
Apr 4, 2015
Posts
176
Reaction score
81
Msaada wapendwa chakufanya TV yangu ya gari nikiweka video ina play halafu inaniletea message kama hii:
THE SAKE OF SAFETY, DRIVING BAN VIDEO.
Naomba kama kuna mtu aliwai kukutana na ujumbe kama huo anisaidie jinsi alivyofanya
 
Gari yako ss tunaifaham?? Nyoosha maelezo ili uweze kueleweka na kusaidiwa au shauriwa yaani unaongea au elezea matatizo yako utafikiri unamwelezea mkeo au mwanao..


Utambulisho wa gari huwa hivi

Make........
Model.......

Au kama vipi ww taja tu chasis number coz yenyewe ndio kila kitu..
 
Gari ni Premio old model.
Gari yako ss tunaifaham?? Nyoosha maelezo ili uweze kueleweka na kusaidiwa au shauriwa yaani unaongea au elezea matatizo yako utafikiri unamwelezea mkeo au mwanao..


Utambulisho wa gari huwa hivi

Make........
Model.......

Au kama vipi ww taja tu chasis number coz yenyewe ndio kila kitu..
 
Msaada wapendwa chakufanya TV yangu ya gari nikiweka video ina play halafu inaniletea message kama hii:
THE SAKE OF SAFETY, DRIVING BAN VIDEO.
Naomba kama kuna mtu aliwai kukutana na ujumbe kama huo anisaidie jinsi alivyofanya
Mkuu huna haja ya kusema ni gari ya aina gani redio ni redio tu..

Kama ni mjuzi unaweza fanya mwenyewe ila kama sio mjuzi tafuta fundi wa gari akusaidie. FANYA HIVI

Kila redio aftermarket (namaanisha ambayo haikuja na gari) yenye uwezo wa video huwa zinakuja ni hiyo kitu kama safe measure kuzuia dereva asiangalie video akiwa anaendesha gari.

FUNGUA redio kwenye gari bila kuchomoa chochote

Utaona nyaya kadhaa zikiwa hazijawa connected kokote na zitakuwa na vikaratasi vinavyoonyesha waya ipi kazi yake ni ipi.

Waya unaouhitaji mara nyingi huwa ni wa brown AU kijani AU utakuwa na kikaratasi kimeandikwa "parking brake" au P au PB ( inategemea na aina ya redio)..

Chubua huo waya kidogo kisha ugusishe kwenye chuma chochote kwenye gari karibu na redio.. Nyuma ya redio utaona kuna kama chuma.. Ukigusisha hapo utapata earth itakayoiambia redio yako umepaki gari na itaruhusu redio ionyeshe video muda wote..

NI RAHISI MNO NAAMINI HUTOSHINDWA MKUU.
 
Msaada wapendwa chakufanya TV yangu ya gari nikiweka video ina play halafu inaniletea message kama hii:
THE SAKE OF SAFETY, DRIVING BAN VIDEO.
Naomba kama kuna mtu aliwai kukutana na ujumbe kama huo anisaidie jinsi alivyofanya
Mkuu huna haja ya kusema ni gari ya aina gani redio ni redio tu..

Kama ni mjuzi unaweza fanya mwenyewe ila kama sio mjuzi tafuta fundi wa gari akusaidie. FANYA HIVI

Kila redio aftermarket (namaanisha ambayo haikuja na gari) yenye uwezo wa video huwa zinakuja ni hiyo kitu kama safe measure kuzuia dereva asiangalie video akiwa anaendesha gari.

FUNGUA redio kwenye gari bila kuchomoa chochote

Utaona nyaya kadhaa zikiwa hazijawa connected kokote na zitakuwa na vikaratasi vinavyoonyesha waya ipi kazi yake ni ipi.

Waya unaouhitaji mara nyingi huwa ni wa brown AU kijani AU utakuwa na kikaratasi kimeandikwa "parking brake" au P au PB ( inategemea na aina ya redio)..

Chubua huo waya kidogo kisha ugusishe kwenye chuma chochote kwenye gari karibu na redio.. Nyuma ya redio utaona kuna kama chuma.. Ukigusisha hapo utapata earth itakayoiambia redio yako umepaki gari na itaruhusu redio ionyeshe video muda wote..

NI RAHISI MNO NAAMINI HUTOSHINDWA MKUU.
 
Msaada wapendwa chakufanya TV yangu ya gari nikiweka video ina play halafu inaniletea message kama hii:
THE SAKE OF SAFETY, DRIVING BAN VIDEO.
Naomba kama kuna mtu aliwai kukutana na ujumbe kama huo anisaidie jinsi alivyofanya
Hiyo ni kawaida kwa baadhi ya gari,kama mimi nikiwasha gari nikaweka DVD naangalia vizuri,ila nikitoa footbrake tu inakata picha inabakiza audio,nikisimama na kupaki inarudisha video
 
Back
Top Bottom