Ngada style, ni walewale, vita na mlezi wa wcb. Hovyo kabisa huyo Dir wao. wcb najua ni lebo kubwa.Nimepata muda wa kuangalia TVE Kituo cha Television kinachomilikiwa na Majizzo kwa muda sasa lakini hawapigi kabisa video (Nyimbo za WCB) Je kuna nini nyuma ya holidays
Kituo hiki kina top 30 kila siku kuanzia 20:00 mpaka 23:00 lakini ndani yake hakuna nyimbo za hawa jamaa
Wanajitahidi..Aisee
Mie nikitaka mziki ndo naweka hiyo channel ila kuwaza nyimbo sijui ya nani walaa
Hayo mamistari yanakera!Nimepata muda wa kuangalia TVE Kituo cha Television kinachomilikiwa na Majizzo kwa muda sasa lakini hawapigi kabisa video (Nyimbo za WCB) Je kuna nini nyuma ya holidays
Kituo hiki kina top 30 kila siku kuanzia 20:00 mpaka 23:00 lakini ndani yake hakuna nyimbo za hawa jamaa
We jamaa noma sanaAnzisha TV yako
Huyo majizo muuza ngada wala hata hajielewi, zaidi ya kuvmia gharama kubwa kuweka mitambo na kutumia gharama kubwa kujipromote lakini hawana kipya wala ubunifu wowote wa kutoa - wamebakiza majungu, umbeya na udaku tuHao jamaa wa efm na etv mwanzoni niliona ni watu wa maana ila kumbe ni wapumbavu sana. Wanapenda makundi vita zisizo na kichwa wala miguu watawekeza sana ila hawatatoboa.