Mimi nawapongeza sana Mkurugenzi na Wafanyakazi wa TBC. Mwanzo mzuri... na Kwa kweli changes kwenye taasisi ya Serikali sio jambo rahisi hata kidogo... kuna watu wengi wanapenda kufanya kazi kwa mazoea.
Kwa vyovyote vile inahitaji moyo... Logo itabadilishwa kidogo with time... that is not a big deal... ila ninauhakika logo sio mbaya hata kidogo.
Waweza ushindanishe watu... mwishoni pia, uchukue logo mbaya...mifano tunayo logo ya TTCL kabla ya MSI ilikuwa mbaya sana. nitawakumbusha logo zilizobadilishwa karibuni angalieni ya TCRA imezinduliwa miaka si mingi na sasa inamabadiliko madogo...
Hongera TBC... taarifa za habari ni nzuri kuliko za famous TV... in Bongo
Mh. Tido au Wafanyakazi wako kama wanatembelea huku... Tafadhali sana tunawaomba muwe na Website yenu. Pia nawashauri muwe na uhusiano wa Karibu sana na TSN.. wachapishaji wa Daily News, Habari Leo, Sunday News etc...
Infact I don't why haya mashirika mawili hayapo pamoja, especially kipindi hiki ambacho consolidation is the way of life....
Pale guardian, habari zingine zinazouzwa kwenye alasiri, ndiyo inayoenda guardin, nipashe, etc... meaning they enjoy being in the same media house.
Ila ile TBC wasingefanya kwenye italic!!!