Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Mratibu wa Uhamasishaji Bavicha Taifa Mhe. @Twaha_Mwaipaya amepata dhamana usiku huu. Twaha amedhaminiwa na watu wawili, Jeshi la Polisi limemtaka kuripoti Julai 08, 2022.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejiuliza baada ya kushangaa.!Mbona hawajampa viatu vyake. Au kingai kaenda badilishana na Mo energy
AmenThanks almighty GOD
Huko kwenu kwenye vyoo vya shimo hiyo harufu hakuna?Walau kaijua harufu ya mtondoo
Tofautisha kunya kwenye ndoo na choo Cha shimoHuko kwenu kwenye vyoo vya shimo hiyo harufu hakuna ?
Una akili duni sana !Tofautisha kunya kwenye ndoo na choo Cha shimo
Hana hamu...ukipewa Uhuru tumia vizuri Uhuru uliopewaUna akili duni sana !
siro you are going to church?YET YOU DONT DESERVE BEING AN igpAmeachiwa Kwa mbinde usiku huu kwa Masharti ya kuwa na wadhamini wawili , hata hivyo anatakiwa kuripoti tena polisi tarehe 8/7/2022 .
Tulishasema tangu awali kwamba Polisi haina hata sababu moja ya ukweli ya kukamata vijana wa Chadema , oneni wenyewe , unamkamata kijana wa watu unamzungusha mavituo yoooote , tena kwa gharama ya serikali , halafu unamuachia bila hata kumpeleka mahakamani !
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wale wote waliopiga kelele kila mahali hadi watesaji wakaona Aibu na kumwachia , LEO NI MWAIPAYA , JUZI NI MO , KESHO NI WEWE , ni lazima tushirikiane kupinga Uharamia .
Siku ya mwisho kila goti litapigwasiro you are going to church?YET YOU DONT DESERVE BEING AN igp
Vyovyote iwavyo, hujawahi kusikia harufu ya mavi?? Tena wewe shithole mda wote unanuka mavi unajitia utukufu wakati mavi matupu.Tofautisha kunya kwenye ndoo na choo Cha shimo
Mwaipaya kwanza pole sana, pili nakuomba useme madhira uliyopitia kwa siku zote hizi. Dunia ijue unyama wa CCM/Samia na polisi TanzaniaAmeachiwa Kwa mbinde usiku huu kwa Masharti ya kuwa na wadhamini wawili , hata hivyo anatakiwa kuripoti tena polisi tarehe 8/7/2022 .
Tulishasema tangu awali kwamba Polisi haina hata sababu moja ya ukweli ya kukamata vijana wa Chadema , oneni wenyewe , unamkamata kijana wa watu unamzungusha mavituo yoooote , tena kwa gharama ya serikali , halafu unamuachia bila hata kumpeleka mahakamani !
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wale wote waliopiga kelele kila mahali hadi watesaji wakaona Aibu na kumwachia , LEO NI MWAIPAYA , JUZI NI MO , KESHO NI WEWE , ni lazima tushirikiane kupinga Uharamia .