Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Twaha ambaye kwa dini ni Muislam , amemsifu shehe Issa Ponda kwa ujasiri wa kukosoa bila woga huku akiwasifu TEC Kwa waraka za mara kwa mara bila uoga pale serikali inapoboronga .[emoji419][emoji375]View attachment 2826262
Mwanasiasa Kijana , Mfungwa wa Kisiasa na Mateka wa awamu ya 6 , Katibu mwenezi wa Bavicha , Twaha Mwaipaya , akizungumza kwenye Maadhimisho ya miaka miaka 3 tangu kufariki kwa Gwiji la siasa za Zanzibar , Maalim Seif , ameilaumu BAKWATA kwa kuwekwa mfukoni na serikali kiasi cha kushindwa kuikosoa serikali hata kwenye makosa ya wazi kabisa .
Twaha ambaye kwa dini ni Muislam , amemsifu shehe Issa Ponda kwa ujasiri wa kukosoa bila woga huku akiwasifu TEC Kwa waraka za mara kwa mara bila uoga pale serikali inapoboronga .
.
=====
Swali langu ,: Je ni kweli Bakwata ilianzishwa na Mwl Nyerere kwa kushirikiana na Paulo Bomani ?
Mm nilijua BAKWATA imelipuliwa na bomu nilivyosoma titleView attachment 2826262
Mwanasiasa Kijana , Mfungwa wa Kisiasa na Mateka wa awamu ya 6 , Katibu mwenezi wa Bavicha , Twaha Mwaipaya , akizungumza kwenye Maadhimisho ya miaka miaka 3 tangu kufariki kwa Gwiji la siasa za Zanzibar , Maalim Seif , ameilaumu BAKWATA kwa kuwekwa mfukoni na serikali kiasi cha kushindwa kuikosoa serikali hata kwenye makosa ya wazi kabisa .
Twaha ambaye kwa dini ni Muislam , amemsifu shehe Issa Ponda kwa ujasiri wa kukosoa bila woga huku akiwasifu TEC Kwa waraka za mara kwa mara bila uoga pale serikali inapoboronga .
.
=====
Swali langu ,: Je ni kweli Bakwata ilianzishwa na Mwl Nyerere kwa kushirikiana na Paulo Bomani ?
Mm nilijua BAKWATA imelipuliwa na bomu nilivyosoma title
Bakwata imejaa, mashushushu kibao, hata, Shekhar yahaya alikuwa informer/spy wa intelijensia, wapo pale kuhakikisha umma, wa ki Islam unabaki kuwa moderate and several haubsdiriki na, kuwa radical ,
Mwenye kuweza, atafute kitabu cha Rudovic Mwijage, mkimbizi wa kisiasa, aliukimbia utawala wa nyerere,
Kweli kabisa. Mashoga msingekuwa salama.Umenea vyema,vinginevyo hii nchi magaidi yangetusumbua sana.
Duuuh !Bakwata imejaa, mashushushu kibao, hata, Shekhar yahaya alikuwa informer/spy wa intelijensia, wapo pale kuhakikisha umma, wa ki Islam unabaki kuwa moderate and several haubsdiriki na, kuwa radical ,
Mwenye kuweza, atafute kitabu cha Rudovic Mwijage, mkimbizi wa kisiasa, aliukimbia utawala wa nyerere,
BAKWATA ni tawi la CCM full hakuna ubishi
Bakwata ni taasisi ya dini, taasisi za dini ziachane na nyege za kisiasaView attachment 2826262
Mwanasiasa Kijana , Mfungwa wa Kisiasa na Mateka wa awamu ya 6, Katibu mwenezi wa Bavicha, Twaha Mwaipaya, akizungumza kwenye Maadhimisho ya miaka miaka 3 tangu kufariki kwa Gwiji la siasa za Zanzibar, Maalim Seif, ameilaumu BAKWATA kwa kuwekwa mfukoni na serikali kiasi cha kushindwa kuikosoa serikali hata kwenye makosa ya wazi kabisa.
Twaha ambaye kwa dini ni Muislam, amemsifu shehe Issa Ponda kwa ujasiri wa kukosoa bila woga huku akiwasifu TEC Kwa waraka za mara kwa mara bila uoga pale serikali inapoboronga.
=====
Swali langu: Je, ni kweli Bakwata ilianzishwa na Mwl Nyerere kwa kushirikiana na Paulo Bomani?
kujilipua kwingine kuna madhara ya daima kisiasa. kuwalazimisha wengine kuamini au kufanya kama wewe si haki.View attachment 2826262
Mwanasiasa Kijana , Mfungwa wa Kisiasa na Mateka wa awamu ya 6, Katibu mwenezi wa Bavicha, Twaha Mwaipaya, akizungumza kwenye Maadhimisho ya miaka miaka 3 tangu kufariki kwa Gwiji la siasa za Zanzibar, Maalim Seif, ameilaumu BAKWATA kwa kuwekwa mfukoni na serikali kiasi cha kushindwa kuikosoa serikali hata kwenye makosa ya wazi kabisa.
Twaha ambaye kwa dini ni Muislam, amemsifu shehe Issa Ponda kwa ujasiri wa kukosoa bila woga huku akiwasifu TEC Kwa waraka za mara kwa mara bila uoga pale serikali inapoboronga.
=====
Swali langu: Je, ni kweli Bakwata ilianzishwa na Mwl Nyerere kwa kushirikiana na Paulo Bomani?
Vipi kuhusu ukweli wa hoja yake ?kujilipua kwingine kuna madhara ya daima kisiasa. kuwalazimisha wengine kuamini au kufanya kama wewe si haki.
Yeye anajua anaikashifu na kuikosoa bakwata, kumbe anajaribu kuupasua uisilamu bila kujua na kupandikiza chuki kwake binafsi dhidi ya uisilamu.
It will come a time ataenda kuswali msikiti A, ataonekana shujaa, ataenda msikiti B ataonkana kafiri
tutaujua atakapoanza kuzuiwa kuingia kufanya ibada msikiti A, na akaruhusiwa kufanya ibada kishujaa msikiti BVipi kuhusu ukweli wa hoja yake ?
kwamba kwa sasa hujajua kama hoja yake ina ukweli ?tutaujua atakapoanza kuzuiwa kuingia kufanya ibada msikiti A, na akaruhusiwa kufanya ibada kishujaa msikiti B
ni hoja au kujipalia mkaa na kujimwagia petroli nyumbani pako kabsaaakwamba kwa sasa hujajua kama hoja yake ina ukweli ?