Mkuu, mimi nakumbuka UKAWA ndio walikimbia bungeni wakiongozwa na msomi wa uchumi, prof. Lipumbu, tena ni baada ya kulamba posho zote za vikao.Ila sijaona chama Cha kumbukumbu Kama ccm mchakato wa katiba waliuanzisha wao wakausimamia wao walipoona ohooo hii katiba itatuchinja wenyewe wakalitelekeza jangwani.
View attachment 1973448
Hii ndio taarifa iliyopatikana kutokana na Utafiti uliofanywa na Taasisi inayoaminika nchi Tanzania inayoitwa TWAWEZA , katika utafiti wao ulioitwa UNFINISHED BUSINESS .
Bila shaka sasa kuna haja ya kufuata matakwa ya wengi .
ID za kulipwa hiziWatuonyeshe maswali walio uliza kwenye utafiti huo wa kisomi. Watu wengine hatuelewi Katiba Mpya ni nini na itatuletea maendeleo yapi? Kaziendelee inaeleweka - madarasa yatajengwa, barabara bora vijijini, huduma za afya bora vijijini, miradi mikubwa itamalizwa, maji safi kwa watanzania wengi na kadhalika. Faida za katiba mpya............mimi naona hasara tu za mchakato wa katiba mpya, mabillioni ya pesa yatatumika kuendeleza mchakato wa katiba mpya.
Huu ukweli hawataukwepa hata wasemeje.Umezaliwa lini?
Ile report ya Jaji Warioba, iliyotokana na wajumbe kyzunguka nchi nzima, wakikutana na makundi yote ya jamii za Watanzania, ilionesha kuwa watanzania wengi wanataka katiba mpya. Hata wale ambao hawakysema moja kwa moja kuwa wanataka katiba mpya, mambo waliyoyataka yawekwe kwenye katiba, tafsiri yake ilikuwa ni lazima utengeneze katiba mpya.
Kwa hiyo hii report ya TWAWEZA, ni uthibitisho wa yale tunayoyajua kupitia Tume ya katiba mpya ya Jaji Warioba.
Hahaaa kwa sababu Chuo hakileti ugali kwakeLow minds ndivyo wanavyofikiria. Ukimwuliza low mind nikupe nini, nikulipue ada ya chuo, ukasome au nikupe magunia ya udaga, atachagua udaga.
Hayo uliyoaandika ni uthibitisho kuwa uwezo wako wa tumbo umefifisha uwezo wa kichwa.
Ndivyo wanavyowaza hawa. Uwezo wao wa kuona mambo unaishia tumboni.Hahaaa kwa sababu Chuo hakileti ugali kwake
Watanzania wa wapi hao wenye elimu kubwa ya uraia....elimu hiyo ya KILIBERALI....watanzania wa wapi hao?!!!!!View attachment 1973448
Hii ndio taarifa iliyopatikana kutokana na Utafiti uliofanywa na Taasisi inayoaminika nchi Tanzania inayoitwa TWAWEZA , katika utafiti wao ulioitwa UNFINISHED BUSINESS .
Bila shaka sasa kuna haja ya kufuata matakwa ya wengi .
Sahihi na ndio wanafanya nchi imefika hapa ilipo.Ndivyo wanavyowaza hawa. Uwezo wao wa kuona mambo unaishia tumboni.
Wangesema wanaikubali Ccm ndio wangekuwa Elimu kubwa🤣🤣Watanzania wa wapi hao wenye elimu kubwa ya uraia....elimu hiyo ya KILIBERALI....watanzania wa wapi hao?!!!!!
Watupe SAMPLE SIZE ya research yao....watuambie waliwahoji watanzania wa KIWANGO GANI CHA ELIMU NA HALI GANI YA KIMAISHA....
Huku mitaani watanzania hao mnaojinasibu wala sijawahi kuwaona....kuwasikia.....hata huko VIJIJINI ni hivyohivyo........
SIEMPRE JMT
Tafiti hupingwa kwa Tafiti mpyaWatanzania wa wapi hao wenye elimu kubwa ya uraia....elimu hiyo ya KILIBERALI....watanzania wa wapi hao?!!!!!
Watupe SAMPLE SIZE ya research yao....watuambie waliwahoji watanzania wa KIWANGO GANI CHA ELIMU NA HALI GANI YA KIMAISHA....
Huku mitaani watanzania hao mnaojinasibu wala sijawahi kuwaona....kuwasikia.....hata huko VIJIJINI ni hivyohivyo........
SIEMPRE JMT
Naleta porojo tupuTafiti hupingwa kwa Tafiti mpya
Sema katika wanachadema watatu wawili wanataka katiba mpya. Watanzania wengi hawajui maana ya katiba.View attachment 1973448
Hii ndio taarifa iliyopatikana kutokana na Utafiti uliofanywa na Taasisi inayoaminika nchi Tanzania inayoitwa TWAWEZA , katika utafiti wao ulioitwa UNFINISHED BUSINESS .
Bila shaka sasa kuna haja ya kufuata matakwa ya wengi .
Porojo za hawa hapa....Naleta porojo tupu
🤣🤣Sema katika wanachadema watatu wawili wanataka katiba mpya. Watanzania wengi hawajui maana ya katiba.
Ripoti ya Warioba ilikuwa politically motivated...ilikuwa ni ya kisiasa zaidi ..ha...ikuwa ya kisayansi ile...ni Nani anataka katiba mpya...ni Nani anataka anataka eti serikali tatu?? Hovyo kabisa ile ripoti...Mimi nakuambia ukifanya utafiti wa dhati...watu wa Bara hawataki Muungano...Kama ni Muungano wanataka serikali moja na siyo ujinga wa serikali tatuUmezaliwa lini?
Ile report ya Jaji Warioba, iliyotokana na wajumbe kuzunguka nchi nzima, wakikutana na makundi yote ya jamii za Watanzania, ilionesha kuwa watanzania wengi wanataka katiba mpya. Hata wale ambao hawakusema moja kwa moja kuwa wanataka katiba mpya, mambo waliyoyataka yawekwe kwenye katiba, tafsiri yake ilikuwa ni lazima utengeneze katiba mpya.
Kwa hiyo, hii report ya TWAWEZA, ni uthibitisho wa yale tunayoyajua kupitia Tume ya katiba mpya ya Jaji Warioba.
Wewe unaionaje kwanza hii takwimuKwa sasa mnawaunga mkono, ila wakisema Mama anakubalika kwa 98% msijitokeze kuilaani hii taasisi. Maana kwa unafiki tu hapo ufipa mna shahada ya uzamivu.
Hiyo iwe bila matumizi ya policcm , na tumeccm kufanikisha ushindi.Ifikapo 2025 msiwakatae hao TWAWEZA na utafiti wa Rais atakayeshinda kwa kishindo!
Bila tume huru ya uchaguzi hatushirikiIfikapo 2025 msiwakatae hao TWAWEZA na utafiti wa Rais atakayeshinda kwa kishindo!
Elezea faida za katiba mpya hapa kwa mtanzania wa kawaida ambaye kila siku bado anahangaika kuweka chakula mezani. Low mind ni mtu asiyefafanua au kuelimisha jambo ila anategemea kutumia nguvu au lugha ya dharau kujaribu kunyamazishi wengine. Katiba zinasimamishwa au kubadilishwa wakati wowote ule hasa katika nchi zetu za Africa. Pesa kidogo tuliyonayo itumike -kupatia maji kwa kila mwananchi, afya bora , elimu kwa kila mtoto wa kitanzania , ajira kwa vijana na madawa hospitalini.Low minds ndivyo wanavyofikiria. Ukimwuliza low mind nikupe nini, nikulipue ada ya chuo, ukasome au nikupe magunia ya udaga, atachagua udaga.
Hayo uliyoaandika ni uthibitisho kuwa uwezo wako wa tumbo umefifisha uwezo wa kichwa.