Ile picha inafanya watu kutetema...sasa pale ukigusa pagumuu km ukuta...pale mwanamke timilifu active asiye na waa hahitaji masuala ya romance🙊..huo muda wa kufanya maromance unautumia kwa masuala mengine😂😂
Hahahahaha yaalaah usemacho ni kweli kabisa mdogo wangu.
Kivazi nilichovaa leo ni uchokozi mtupu hahahahhhaaa itabidi nivae miwani yangu ya tint leo nikodolee jinsi maeneo yanavyoumuka bila hamira 😜😜😜😅
Kasie Matata.
HIZO PICHA 2 TOKA MWISHO SIWAPENDAGI MAANA WAMEPITA CHINA OPERATIONS
NI KWELI WENGI WAZURI WAPO TZ
KAMA DADAKO PENNY HAPA
AU SIO HONEY 50thebe ?
Khoooh khoooh[emoji848]
fundi tafadhariiiKhoooh khoooh
Kumbeee [emoji44][emoji44][emoji44]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikweli, hata mimi ninaonaView attachment 1043846
Wivuuu
Ni kweli mkuu tumebarikiwa bongo, nipo Uganda nmekuja for one week, madem karibia wote weusi, shapeless ni kutafuta kwa torch
Hawa si wazuri ila wanaridhisha kama hakuna wengine zaidi yaoUkitaka weupe wapo, wenye Chura wapo, ukitaka wembamba warefu wapo, yaani wapo mademu wa kila, Aina,
Tanzania Mungu aliibariki kwa kweli.
View attachment 1043822View attachment 1043823View attachment 1043824View attachment 1043825
CC Zero IQ