Leo Tarehe 07/10/2020
Mheshimiwa Boniface Jacob
anatarajia kuendeleza Kampeni zake za Ubunge Jimbo la Ubungo katika Kata ya Makuburi.
Muda ni Kuanzia
Saa 8:00 Mchana, Mtaa wa Kibangu viwanja vya Riverside Stand Kutakuwa na Mkutano wa hadhara.
_Ni_
BONIFACE JACOB
Wao wanaposema nitawafanyia hivi yeye anasema nimefanya, nitumeni nizidi kuwatumikia.
NI KIJANA WETU, TUNAMFAHAMU, TUNAMUHITAJI
Nyote Mnakaribishwa
_Afisa Mawasiliano kwa Umma
Manji Kapama
+255 714 180 703
07/10/2020
Mheshimiwa Boniface Jacob
anatarajia kuendeleza Kampeni zake za Ubunge Jimbo la Ubungo katika Kata ya Makuburi.
Muda ni Kuanzia
Saa 8:00 Mchana, Mtaa wa Kibangu viwanja vya Riverside Stand Kutakuwa na Mkutano wa hadhara.
_Ni_
BONIFACE JACOB
Wao wanaposema nitawafanyia hivi yeye anasema nimefanya, nitumeni nizidi kuwatumikia.
NI KIJANA WETU, TUNAMFAHAMU, TUNAMUHITAJI
Nyote Mnakaribishwa
_Afisa Mawasiliano kwa Umma
Manji Kapama
+255 714 180 703
07/10/2020