Uchaguzi 2020 Twende na Tundu Lissu October 28

Uchaguzi 2020 Twende na Tundu Lissu October 28

lukoma

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2013
Posts
2,995
Reaction score
2,246
1598511543426.png

1. Wafanyakazi wote wa umma hata mashirika binafsi twende na Tundu

2. Wote waliolazimisha kurejesha mkopo wa HSLB 15% badala ya 8% ilokuwepo kwenye mkataba Oct .28 Twende na Tundu Lissu

3. Wafanyakazi wote ambao wakifukuzwa kazi kwa madai ya vyeti fake hawakulipwa pesa zao za mifuko ya hifadhi ya Jamii Oct 28 Twende na Tundu Lissu

4. Wastaafu wote mliostaafu is toka 2016 hamjalipwa kiinua mgongo chenu mpaka sasa Octoba 28 Twende na Tundu Lissu.

5. Watanzania wote walobomolewa nyumba zao bila malipo. Oct 28 twende na Tundu Lissu

6. Watanzania wote wakobambikizwa mikesi ya uhujumu uchumi Oct 28 twende na Tundu Lissu

7. Wakina mama na dada wote ambao wamechoka kudhalilishwa majukwaani. Oct 28 twende na Tundu Lissu.

8. Maras wastaafu wote mlijaribu k
 
Kwamba TL hela za kulipa hao watu yeye atazitoa Mfukoni mwake? Ama ndio tutarudishana zama za wananchi kuomba serikali ipeleke hela za miradi kisha wakurugenzi na wakuu wa wilaya kuzitafuna bila huruma huku wananchi wakizidi kulia?
 
Kwamba TL hela za kulipa hao watu yeye atazitoa Mfukoni mwake? Ama ndio tutarudishana zama za wananchi kuomba serikali ipeleke hela za miradi kisha wakurugenzi na wakuu wa wilaya kuzitafuna bila huruma huku wananchi wakizidi kulia?
Kwani huyo unayemsifu pesa anatoa mfukoni mwake? Pesa zote ni za wananchi hivyo lissu ataratibu tu kama huyo Mr. Misifa anayedhalilisha watu majukwaani.
 
Kwa tume hii! Unajua tume ndiyo inayopanga nani awe raisi? Na tayari ilishapanga kuwa ni jiwe? Bado kusoma tu!
Tume haipangi, sema tu kuwa tunaiendekeza tu lkn kama wanapora haki ya mgombea na huyo mgombea akawa amejitambua kama mh Lissu, sahau kabisa
 
Kwamba TL hela za kulipa hao watu yeye atazitoa Mfukoni mwake? Ama ndio tutarudishana zama za wananchi kuomba serikali ipeleke hela za miradi kisha wakurugenzi na wakuu wa wilaya kuzitafuna bila huruma huku wananchi wakizidi kulia?
Kwani fedha zilizojenga AirPort Chato na kupeleka wanyama chato mlizitoa wapi????

Kwani Kikwete aliyekuwa anaongeza mshahara kila mwaka alikuwa anatoa wapi hela???!
 
Kwa tume hii! Unajua tume ndiyo inayopanga nani awe raisi? Na tayari ilishapanga kuwa ni jiwe? Bado kusoma tu!
Kwani kura zinapigwa Tume??? Tumeshasema tunapiga kura na kulinda kura zetu mpaka zinavyohesabiwa. Tukitoka kituoni tunajua mshindi ni nani kuanzia udiwani, ubunge hadi uraisi. Sasa Kwa nini tusijue raisi wetu ni nani????

Mwaka huu lazima tumstaafishe Magu na kumrudisha Chato!!!
 
Tz
 

Attachments

  • 1561262_IMG-20170803-WA0080.jpg
    1561262_IMG-20170803-WA0080.jpg
    40.8 KB · Views: 1
9.
1. Wafanyakazi wote wa umma hata mashirika binafsi twende na Tundu

2. Wote waliolazimisha kurejesha mkopo wa HSLB 15% badala ya 8% ilokuwepo kwenye mkataba Oct .28 Twende na Tundu Lissu

3. Wafanyakazi wote ambao wakifukuzwa kazi kwa madai ya vyeti fake hawakulipwa pesa zao za mifuko ya hifadhi ya Jamii Oct 28 Twende na Tundu Lissu

4. Wastaafu wote mliostaafu is toka 2016 hamjalipwa kiinua mgongo chenu mpaka sasa Octoba 28 Twende na Tundu Lissu.

5. Watanzania wote walobomolewa nyumba zao bila malipo. Oct 28 twende na Tundu Lissu

6. Watanzania wote wakobambikizwa mikesi ya uhujumu uchumi Oct 28 twende na Tundu Lissu

7. Wakina mama na dada wote ambao wamechoka kudhalilishwa majukwaani. Oct 28 twende na Tundu Lissu.

8. Maras wastaafu wote mlijaribu k
9. Watumishi Umma walio tia Nia kungombea nafasi mbali mbali za kisiasa kupitia CCM na kukata mishahara Yao kwa miezi miwili kurudishwa mishahara Yao yote.
10. Walio kutwa na vyeti fake kulipwa mafao Yao kwa kazi na kubaki makao.
11. Uongozi ngazi za uwaziri kutokuchaguliwa kutokea upande mmoja au mkoa mmoja wa tanzania,mfano Sasa mawaziri 6 wametokea mkoa mmoja wa geita,.
12.Watumishi wa umma kutotumbuliwa ohovyo na kudhalilishwa hadharani .
13. Kuundwa serikali ya utaifa ,ili kuunganisha vyama tofauti na Sasa wapinzani hawana Tena sauti.
14. Watanzania kufungiwa maji na umeme bure na kuendelea kulipia bill zao za kila mwezi
15. Ajira kwa vijana ni kipaumbele kwa vijana kwa asilimia 100%
16 . Kuundwa na kuifumua upya TRA.
17. Ujenzi ,kumalizia miundombinu yote iliyopo,ikiwa ni pamoja na ujenzi wa barabara kwa kiwango Cha lami kutoka karatu, kupitia Serengeti ,mugumu Hadi tarime, nyingine Ni mererani,simanjiro,kiteto Hadi dodoma, nyingine Ni geita nyarugusu Hadi Kahama,nyingine Ni kahama ,bulhyankulu msasi Hadi mwanza, nyingine Ni katoro Hadi ushirombo, nyingine Ni nzera hadi sengerema, nyingine Ni geita mjini,kwenda Kamwanga nyingine Ni karatu ,ziwa eyasi kwenda bariadi. Nyingine Ni kahama kwenda mwanza bila kupitia tinde.na nyingine nyingi ili kuunganisha nchi.
18. Wakuu wa Wilaya na mikoa kuteuliwa na wananchi. Kuwepo kwa katiba mpya.
 
1. Wafanyakazi wote wa umma hata mashirika binafsi twende na Tundu

2. Wote waliolazimisha kurejesha mkopo wa HSLB 15% badala ya 8% ilokuwepo kwenye mkataba Oct .28 Twende na Tundu Lissu

3. Wafanyakazi wote ambao wakifukuzwa kazi kwa madai ya vyeti fake hawakulipwa pesa zao za mifuko ya hifadhi ya Jamii Oct 28 Twende na Tundu Lissu

4. Wastaafu wote mliostaafu is toka 2016 hamjalipwa kiinua mgongo chenu mpaka sasa Octoba 28 Twende na Tundu Lissu.

5. Watanzania wote walobomolewa nyumba zao bila malipo. Oct 28 twende na Tundu Lissu

6. Watanzania wote wakobambikizwa mikesi ya uhujumu uchumi Oct 28 twende na Tundu Lissu

7. Wakina mama na dada wote ambao wamechoka kudhalilishwa majukwaani. Oct 28 twende na Tundu Lissu.

8. Maras wastaafu wote mlijaribu k
Twende naye wapi?
 
Back
Top Bottom