Twenzetu kwa Mkapa tukaishangilie Taifa stars

Twenzetu kwa Mkapa tukaishangilie Taifa stars

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Twenzetu kwa Mkapa tukaishangilie Taifa starsView attachment 2568438View attachment 2568439
20230328_050000.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania win
Mimi, baada ya kuitwa kwa Tshabalala na Kapombe waliozoea kucheza kimazoea, nawapa nafasi Uganda. Kiukweli, timu yetu inahitaji mabadiliko ya kikosi kama yale yaliyofanyika kule Misri. Kuwapanga 'mafather' watupu kutaipa ugumu sana Stars hii leo. Kikosi kikibadilika kama vile, Stars anashinda!
 
Mimi, baada ya kuitwa kwa Tshabalala na Kapombe waliozoea kucheza kimazoea, nawapa nafasi Uganda. Kiukweli, timu yetu inahitaji mabadiliko ya kikosi kama yale yaliyofanyika kule Misri. Kuwapanga 'mafather' watupu kutaipa ugumu sana Stars hii leo. Kikosi kikibadilika kama vile, Stars anashinda!
Sijui kwanini wanashindwa kuheshim maamuzi ya kocha, ngoja tuone leo itakuaje ni bora waanzie benchi
 
Mimi, baada ya kuitwa kwa Tshabalala na Kapombe waliozoea kucheza kimazoea, nawapa nafasi Uganda. Kiukweli, timu yetu inahitaji mabadiliko ya kikosi kama yale yaliyofanyika kule Misri. Kuwapanga 'mafather' watupu kutaipa ugumu sana Stars hii leo. Kikosi kikibadilika kama vile, Stars anashinda!
Yametimia
 
Back
Top Bottom