Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Tanzania winTwenzetu kwa Mkapa tukaishangilie Taifa starsView attachment 2568438View attachment 2568439View attachment 2568440
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mtu apigwe mara mbili tena mbele na nyuma?Tanzania win
Mimi, baada ya kuitwa kwa Tshabalala na Kapombe waliozoea kucheza kimazoea, nawapa nafasi Uganda. Kiukweli, timu yetu inahitaji mabadiliko ya kikosi kama yale yaliyofanyika kule Misri. Kuwapanga 'mafather' watupu kutaipa ugumu sana Stars hii leo. Kikosi kikibadilika kama vile, Stars anashinda!Tanzania win
Hivi kweli unaita watu saa 6 mechi ya saa 2 usiku?Ndugu, mchezo ni saa mbili usiku na si saa moja iliyoandikwa hapo. Milango itakuwa wazi kuanzia saa sita mchana. Tayari siti 45,000 zimeshapata watazamaji...wanasubiriwa waingiaji tu.
Sijui kwanini wanashindwa kuheshim maamuzi ya kocha, ngoja tuone leo itakuaje ni bora waanzie benchiMimi, baada ya kuitwa kwa Tshabalala na Kapombe waliozoea kucheza kimazoea, nawapa nafasi Uganda. Kiukweli, timu yetu inahitaji mabadiliko ya kikosi kama yale yaliyofanyika kule Misri. Kuwapanga 'mafather' watupu kutaipa ugumu sana Stars hii leo. Kikosi kikibadilika kama vile, Stars anashinda!
YametimiaMimi, baada ya kuitwa kwa Tshabalala na Kapombe waliozoea kucheza kimazoea, nawapa nafasi Uganda. Kiukweli, timu yetu inahitaji mabadiliko ya kikosi kama yale yaliyofanyika kule Misri. Kuwapanga 'mafather' watupu kutaipa ugumu sana Stars hii leo. Kikosi kikibadilika kama vile, Stars anashinda!