Twenzetuni IRAN

Tuletee samba la Brazil achana na hao ma-suicide bomber...
 
Wewe kamua tu achana hao ma mods na unoko wao....
 
kunafaa huku sio mchezo hili nalielewa zamzani, kuna jamaa mmoja alikuwa Usalama wa Taifa mika ile ya 70-80 hapa zanzibar alikwenda huko na kurudi na toto moja lakirani alikuwa hatari tulikuwa tunammezea mate tukipita pale nyumbani kwake kuna badhi yao watu wakipita pale wanangalia MENU na kula wakifika nyumbani au vyumbani mwao kwa uzuri wa yule mwanamke.
 

bado yuko naye?
 

unaongelea size zao XXXL au sura
 
kwani wewe unapendela nini?
 
Last edited:
Naini anataka kwenda sehemu ambako hujui totoz zinapatikana wapi? kila demu amejifunika gubigubi nani anataka ujinga huo..aaarrrggghh..


Wanapatikana kwa ku-sign MUT'H (Contract) unawzakufanya contract ya mwezi Mmoja, tatu, sita au mwaka, ikisha contract unaweza kurenew, hivi ndo wanavypatikana hawa mabint wa kiiran, hakuna haja ya condom, bado wazungu wanasumbuka kupeleka ukimwi kule irani, Mullahs wakongangari sio kamaviongozi wetu wa kiafrika wameshatutelekeza, ukimwi kilamtu. Rafiki yangu nimemuacha huko bado anabembea.
 
basi kama ndio hivyo mimi niko tayari kuwa shia kisha nikafanye hiyo Mu'taa

ahhh khatari namna hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…