MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
Kundi la wapiganaji TWIRWANEHO, huko Kivu kusini, limetangaza rasimi kujiunga na kundi la AFFC/M23.
Baada ya kifo cha aliekuwa kiongozi wa kundi hilo, General Michael RUKUNDA, AKA MAKANIKA, kwa shambulio la ndege isiyo na rubani ya serikali, lililoondoa uhai wake, uongozi wa kundi hilo kwa sasa anao Brigedia General Charles SEMATAMA.
Sematama, ametangaza haya, baada ya kifo cha kiongozi mwenzake. Amesema, awali, kundi hilo lilikuwa likihakikisha linakabiliana na uvamizi wa jeshi la serikali, na vikundi vya kigaidi kama mai mai na FDLR, na kwamba wao hawakuwahi kulishambulia jeshi. Lakini kwa sasa, baada ya AFC/M23 kufika maeneo ya makazi ya wanyamurenge(MINEMBWE), wamejiunga rasmi na kundi hilo kwa lengo la kuongeza nguvu, kuhakikisha serikali inawajisbishwa.
Baada ya kifo cha aliekuwa kiongozi wa kundi hilo, General Michael RUKUNDA, AKA MAKANIKA, kwa shambulio la ndege isiyo na rubani ya serikali, lililoondoa uhai wake, uongozi wa kundi hilo kwa sasa anao Brigedia General Charles SEMATAMA.
Sematama, ametangaza haya, baada ya kifo cha kiongozi mwenzake. Amesema, awali, kundi hilo lilikuwa likihakikisha linakabiliana na uvamizi wa jeshi la serikali, na vikundi vya kigaidi kama mai mai na FDLR, na kwamba wao hawakuwahi kulishambulia jeshi. Lakini kwa sasa, baada ya AFC/M23 kufika maeneo ya makazi ya wanyamurenge(MINEMBWE), wamejiunga rasmi na kundi hilo kwa lengo la kuongeza nguvu, kuhakikisha serikali inawajisbishwa.