Twitter inafanya majaribio kuwa na sehemu ya video inayofanana na Tiktok

Twitter inafanya majaribio kuwa na sehemu ya video inayofanana na Tiktok

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1664559566804.png

Inaonekana ni ngumu sana kwa hii mitandao kuwa na idea za utofauti ambazo hazifanani na platform nyingine; sijui ni uzembe wa kubuni idea mpya au idea mpya zimeisha.

Twitter imetangaza mabadiliko mawili ambayo yanafanana kabisa na TikTok na Instagram Reels.

1️⃣ Twitter inaweka sehemu ya “Video for you” ambayo itakuwa kama Instagram Reels. Sehemu hii itakuwa inaonyesha video ambazo utazipenda; na algorithm itakuwa inaziweka kuendana na interests zako.

2️⃣ Kingine, video zitakuwa katika mfumo wa Full-Screen kama video za TikTok. Ukitaka kuitazama video na kuifungua inachukua style ya full screen na chini itakaa caption na sehemu za likes, retweet na comments.

Mabadiliko haya yameanza kwa baadhi ya watumiaji wa iOS na Android. Itabadilika kwa watumiaji wote.

Credit: Apollo ( Instagram)
 
If you cant defeat them basi wewe join them.

Kwenye biashara ni kwenda sambamba na mpinzani wako hata kwa kumfanyia figisu
 
Naona mchina anendelea kuwapelekesha wamarekani. Sasa wamebaki kumkopi
 
If you cant defeat them basi wewe join them.

Kwenye biashara ni kwenda sambamba na mpinzani wako hata kwa kumfanyia figisu
Naona mchina anendelea kuwapelekesha wamarekani. Sasa wamebaki kumkopi
Tiktok ndio alimcopy Twitter. Hawa Twitter ndo waanzilishi wa hizi short video walikuwa na service inaitwa Vine. Miaka ya 2012 mpaka 2017 wakaifunga.

Hili ndio tatizo la Macapitalist, sasa hivi wangekuwa mbali sana.
 
Nikijua wachina ndio copy and paste kumbe na Biden kiazi nae🤣
 
Tiktok ndio alimcopy Twitter. Hawa Twitter ndo waanzilishi wa hizi short video walikuwa na service inaitwa Vine. Miaka ya 2012 mpaka 2017 wakaifunga.

Hili ndio tatizo la Macapitalist, sasa hivi wangekuwa mbali sana.
Kuna watu walikuwa wanatengeneza vines hadi leo maarufu wakubwa. Kampuni ikiwa na shareholders wanaighasi kazi sana kuwa ya kibunifu.
 
Back
Top Bottom